Hahaha Mdogo wa Diamond ametoa singo ya kumdisi diamond

Hahaha Mdogo wa Diamond ametoa singo ya kumdisi diamond

Kajitahidi kweli hasa kwenye kumalizia nyani haoni.......,,,.... Safi sana hongera dogo hata yeye alianza na Matusi
 
Nimeuangalia wimbo huu nikabaki najiuliza kua, hivi maneno/mashairi yaliyoko kwenye huu wimbo ni ya kweli ama kilichofanyika ni kazi mojawapo ya sanaa kuburudisha jamii?
 
Nimeuangalia wimbo huu nikabaki najiuliza kua, hivi maneno/mashairi yaliyoko kwenye huu wimbo ni ya kweli ama kilichofanyika ni kazi mojawapo ya sanaa kuburudisha jamii?
Mkuu tatizo huyo dogo inaonekana anachuki za kutosaidiwa na huyo ndugu yake, aliweka matumaini makubwa kuliko hata kwa aliye mzaaa sasa hali sivyo ndio haya sasa yanakuja, Inaonesha msingi mbovu kwenye familia yao
 
Dogo kapewa fursa na ameitumia ipasavyo, kamwaga dukuduku lake mwanzo mwisho lol.
 
Mama Yao mwenyewe alikuwa Muuza pombe chafu, midume ilikuwa inamdandia ikilewa.. Unategemea familia itakuwaje?
 
Back
Top Bottom