Hahaha...

Amejiua kama wale wanao jiteka?, na kusingizia eti oooh! nimetekwa na watu wasiyo julikana kumbe yupo sehemu anakula urabu. au

wengine wanajigongesha kwenye magari ya bei, kisa wapewe chochote kitu. Dar bana heee!
Hiyo ikoje ebu dadavua!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…