smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Amejiua kama wale wanao jiteka?, na kusingizia eti oooh! nimetekwa na watu wasiyo julikana kumbe yupo sehemu anakula urabu. au
wengine wanajigongesha kwenye magari ya bei, kisa wapewe chochote kitu. Dar bana heee!
Hiyo ikoje ebu dadavua!