Hahaha!

Hahaha!

Numero Uno

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
607
Reaction score
1,302
20200705_140001.jpg
20200705_135945.jpg
20200705_135926.jpg
 
Jamaa linakaa kipunguni A maeneo ya moshi bar anajiita big lakini jina lake halisi anaitwa marwa wambura

Mtu wa sifa sana halafu infoma nzuri sana wa kuchomesha watu kwa maaskari, na kujifanya pia askari pia ni hodari sana kwa kupiga vigongo mpaka bia anapiga vigongo![emoji1430]
 
Mtu wa sifa sana jamaa sasa kama hapo hata mazingira ya uwanja wa ndege ndio hayo shubamit!
 
Jamaa linakaa kipunguni A maeneo ya moshi bar anajiita big lakini jina lake halisi anaitwa marwa wambura

Mtu wa sifa sana halafu infoma nzuri sana wa kuchomesha watu kwa maaskari, na kujifanya pia askari pia ni hodari sana kwa kupiga vigongo mpaka bia anapiga vigongo![emoji1430]
Vigongo maana yake nini?
 
Hawa matapeli mwisho wao ni kuzibuliwa sikio la nne tu. Hivi Mwanza kuna bahari? Halafu kaandika bahali badala ya bahari. Huyu anawaweza wajingawajinga.
Nipe namba zake nimzingue
 
Jamaa linakaa kipunguni A maeneo ya moshi bar anajiita big lakini jina lake halisi anaitwa marwa wambura

Mtu wa sifa sana halafu infoma nzuri sana wa kuchomesha watu kwa maaskari, na kujifanya pia askari pia ni hodari sana kwa kupiga vigongo mpaka bia anapiga vigongo![emoji1430]

Sorry nasawazisha sio kipunguni A ni kipunguni B maeneo ya moshi bar ndio anaishi maarufu sana ukifika maeneo hayo, ukimuulizia big unampata
 
Back
Top Bottom