Its the reason nasema jamaa alikua anamega.... binti, chini ya kiapo, kaieleza mahakama hajawahi kufanya mapenzi na mwanaume mwingine maishani mwake zaidi ya mshitakiwa! DNA ime-prove beyond reasonable doubt kwamba mimba sio ya mshitakiwa! Can't you smell something fishy in that case? Unahitaji ushahidi kweli kukubali ulikuwa mchezo mchafu?
Huyu si kisongo arusha, atakuwa ni Karanga moshi.Yes... Adai fidia itakayotoa fundisho kwa Mataga! Mwendazake angekua hai Mwamba Angeozea Kisongo!
Amekufa magufuli mahakama zimekuwa huru. AiseeMahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imemwachia huru diwani wa zamani wa Masama Mashariki (CHADEMA), John Munisi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire.
Akisoma hukumu hiyo Leo, Hakimu Mkazi wa Wilaya hiyo, Jasmin Abdul amesema mahakama hiyo haijamtia hatiani mshtakiwa huyo katika makosa mawili yanayomkabili, kwa kuwa vipimo vya sampuli za vinasaba (DNA), kuonyesha mtoto aliyezaliwa, hakuwa mtoto wa mshtakiwa.
Aidha, hakimu huyo amesema kwa kuwa mtoto aliyezaliwa si wa mshtakiwa, mahakama hiyo haioni sababu ya kuamini kwamba mshtakiwa alimbaka mwanafunzi huyo, hivyo inamwachia huru.
Awali, ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Lebulu Mbise, kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti.
Anadaiwa alitenda kosa la kwanza katika Kijiji cha Ngira, Wilaya ya Hai, kwa kumbaka mwanafunzi huyo Aprili 4, mwaka 2019, kosa alilotenda akijua ni kinyume cha sheria.
Ilidaiwa kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo, kinyume na kifungu 130 (1) (2) na kifungu 131 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 ya Sheria iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2000.
Aidha, ilidaiwa pia mahakamani hapo kwamba, mshtakiwa alitenda kosa la pili katika kijiji hicho hicho, kwa kumpa ujauzito mwanafunzi huyo Aprili, kinyume na Sheria ya Elimu, kifungu cha 60 (A) (2) na (3) iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2002.
Katika ushahidi wa shahidi muhimu wa kesi hiyo ambaye ni mwanafunzi, alidai mahakamani hapo wakati akitoa ushahidi wake kwamba, hakuwahi kufanya ngono na mtu mwingine yoyote maishani mwake, tofauti na mshtakiwa huyo.
Wakati mshtakiwa Munisi, akitoa utetezi wake akiongozwa na Wakili Elia Kiwia, alidai hakuwahi kuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanafunzi huyo, wala hakuwahi kufanya ngono naye.
Mshtakiwa huyo alijitetea kwamba alibambikiziwa kesi hiyo, baada ya kiongozi mmoja, kumlazimisha ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipokataa, ndipo akambambikizia kesi hiyo namba 127 ya mwaka 2019.
Chanzo: IPP MEDIA
Aombe bahati yake hako kabinti kalikua na michepuko mingi,Mahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imemwachia huru diwani wa zamani wa Masama Mashariki (CHADEMA), John Munisi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire.
Akisoma hukumu hiyo Leo, Hakimu Mkazi wa Wilaya hiyo, Jasmin Abdul amesema mahakama hiyo haijamtia hatiani mshtakiwa huyo katika makosa mawili yanayomkabili, kwa kuwa vipimo vya sampuli za vinasaba (DNA), kuonyesha mtoto aliyezaliwa, hakuwa mtoto wa mshtakiwa.
Aidha, hakimu huyo amesema kwa kuwa mtoto aliyezaliwa si wa mshtakiwa, mahakama hiyo haioni sababu ya kuamini kwamba mshtakiwa alimbaka mwanafunzi huyo, hivyo inamwachia huru.
Awali, ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Lebulu Mbise, kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti.
Anadaiwa alitenda kosa la kwanza katika Kijiji cha Ngira, Wilaya ya Hai, kwa kumbaka mwanafunzi huyo Aprili 4, mwaka 2019, kosa alilotenda akijua ni kinyume cha sheria.
Ilidaiwa kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo, kinyume na kifungu 130 (1) (2) na kifungu 131 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 ya Sheria iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2000.
Aidha, ilidaiwa pia mahakamani hapo kwamba, mshtakiwa alitenda kosa la pili katika kijiji hicho hicho, kwa kumpa ujauzito mwanafunzi huyo Aprili, kinyume na Sheria ya Elimu, kifungu cha 60 (A) (2) na (3) iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2002.
Katika ushahidi wa shahidi muhimu wa kesi hiyo ambaye ni mwanafunzi, alidai mahakamani hapo wakati akitoa ushahidi wake kwamba, hakuwahi kufanya ngono na mtu mwingine yoyote maishani mwake, tofauti na mshtakiwa huyo.
Wakati mshtakiwa Munisi, akitoa utetezi wake akiongozwa na Wakili Elia Kiwia, alidai hakuwahi kuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanafunzi huyo, wala hakuwahi kufanya ngono naye.
Mshtakiwa huyo alijitetea kwamba alibambikiziwa kesi hiyo, baada ya kiongozi mmoja, kumlazimisha ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipokataa, ndipo akambambikizia kesi hiyo namba 127 ya mwaka 2019.
Chanzo: IPP MEDIA
Maccm ni mashetani. Hapo walitaka aunge mkono juhudi za yule ibilisi.... binti, chini ya kiapo, kaieleza mahakama hajawahi kufanya mapenzi na mwanaume mwingine maishani mwake zaidi ya mshitakiwa! DNA ime-prove beyond reasonable doubt kwamba mimba sio ya mshitakiwa! Can't you smell something fishy in that case? Unahitaji ushahidi kweli kukubali ulikuwa mchezo mchafu?
... how comes alikuwa anamega halafu mimba sio yake?Its the reason nasema jamaa alikua anamega.
Baada ya kesi kwenda kituoni ubambikaji ukaanzia hapo
Kwasababu binti alikua anamegwa na mtu zaidi ya mmoja... how comes alikuwa anamega halafu mimba sio yake?
Wapime DNA ya Sabaya.Mahakama ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imemwachia huru diwani wa zamani wa Masama Mashariki (CHADEMA), John Munisi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Marire.
Akisoma hukumu hiyo Leo, Hakimu Mkazi wa Wilaya hiyo, Jasmin Abdul amesema mahakama hiyo haijamtia hatiani mshtakiwa huyo katika makosa mawili yanayomkabili, kwa kuwa vipimo vya sampuli za vinasaba (DNA), kuonyesha mtoto aliyezaliwa, hakuwa mtoto wa mshtakiwa.
Aidha, hakimu huyo amesema kwa kuwa mtoto aliyezaliwa si wa mshtakiwa, mahakama hiyo haioni sababu ya kuamini kwamba mshtakiwa alimbaka mwanafunzi huyo, hivyo inamwachia huru.
Awali, ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Lebulu Mbise, kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti.
Anadaiwa alitenda kosa la kwanza katika Kijiji cha Ngira, Wilaya ya Hai, kwa kumbaka mwanafunzi huyo Aprili 4, mwaka 2019, kosa alilotenda akijua ni kinyume cha sheria.
Ilidaiwa kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo, kinyume na kifungu 130 (1) (2) na kifungu 131 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 ya Sheria iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2000.
Aidha, ilidaiwa pia mahakamani hapo kwamba, mshtakiwa alitenda kosa la pili katika kijiji hicho hicho, kwa kumpa ujauzito mwanafunzi huyo Aprili, kinyume na Sheria ya Elimu, kifungu cha 60 (A) (2) na (3) iliyofanyiwa Marejeo Mwaka 2002.
Katika ushahidi wa shahidi muhimu wa kesi hiyo ambaye ni mwanafunzi, alidai mahakamani hapo wakati akitoa ushahidi wake kwamba, hakuwahi kufanya ngono na mtu mwingine yoyote maishani mwake, tofauti na mshtakiwa huyo.
Wakati mshtakiwa Munisi, akitoa utetezi wake akiongozwa na Wakili Elia Kiwia, alidai hakuwahi kuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanafunzi huyo, wala hakuwahi kufanya ngono naye.
Mshtakiwa huyo alijitetea kwamba alibambikiziwa kesi hiyo, baada ya kiongozi mmoja, kumlazimisha ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipokataa, ndipo akambambikizia kesi hiyo namba 127 ya mwaka 2019.
Chanzo: IPP MEDIA
Mahakama haitakiwi kutumia busara, inatakiwa kutumia sheriaMahakama inabidi itumie busara ili huyo mtoto apate malezi ya babaake.
Hili genge lake lipigwe pande zote mbele na nyuma mpaka litoweke lote na amani irejee.Ametuachia kikundi cha wahuni serikalini ndio tupo kwenye njia ya kukiondoa
hiyo mimba ilitoka wapi sasa na wakati hajawahi kufanya mapenzi na mtu yoyote?Inawezekana alimbaka lkn hakumtia Mimba.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Unamaanisha baada ya kubakwa, akaenda tena sehem nyingine kutoa mzigo?Inawezekana alimbaka lkn hakumtia Mimba.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
... sijui tukuamini wewe au mmegwaji? Binti chini ya kiapo kaieleza mahakama hajawahi kufanya mapenzi na mtu mwingine yeyote maishani mwake zaidi ya mshitakiwa! Huelewi ama?Kwasababu binti alikua anamegwa na mtu zaidi ya mmoja
Kama unamuamini mmegwaji anayesema hajawahi kumegwa na mwingine zaidi ya mtuhumiwa so huyo mtoto kua na DNA ya mtu mwingine inamaanisha nini?... sijui tukuamini wewe au mmegwaji? Binti chini ya kiapo kaieleza mahakama hajawahi kufanya mapenzi na mtu mwingine yeyote maishani mwake zaidi ya mshitakiwa! Huelewi ama?
... ndio maana nikasema ni mchezo mchafu!Kama unamuamini mmegwaji anayesema hajawahi kumegwa na mwingine zaidi ya mtuhumiwa so huyo mtoto kua na DNA ya mtu mwingine inamaanisha nini?
Haimaanishi kwamba alikua ana mtu mwingine?
Kwa hilo utamuamini yeye au logic?
InapimwaMtoto angekufa je? Jamaa si angeozea uko? Au dna inapimwa hata kama mtu kaenda-zake?
Pumbavu kabisaNdio historia ya Tanzania ambayo Mwendazake ametuachia hii,na somo lake linaandaliwa,eti 'shujaa wa Afrika'
Unapongezaje pande zote mbili ukiwemo huo upande wa mashtaka ambao umeshiriki kuandaa mashtaka ya uongo? Yaani wewe ni Wakili Msomi, halafu unaongelea vitu kwa wepesi wepesi tu!Si mchezo! Napongeza pande zote za kesi hii: Upande wa Mashtaka na Upande wa Utetezi. Kesi ya ubakaji ni kati ya kesi rahisi kuanzishwa lakini ngumu kuthibitishwa au kujitetea. Ni jambo jema kwenda mbele zaidi kwenye vipimo na kuoanisha na yamhusuyo mshtakiwa husika.