Hai: Aliyekuwa Diwani wa CHADEMA aachiwa huru kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi baada ya DNA kuonesha Mtoto aliyezaliwa sio wake

Dah kweli kasomi ni kajinga mkuu
 
Kwasababu binti alikua anamegwa na mtu zaidi ya mmoja
Binti chini ya kiapo kasema hajawahi ku "do" au ku "walk" na mwanaume mwingine yeyote zaidi ya mtuhumiwa.
Kaidanganya mahakama au wewe!?
 
Je wewe unaamimi au una ushahidi wowote wa uhakika kuwa kweli huyo binti hajawahi kufanya mapenzi na mtu mwingine yeyote zaidi ya huyo mshtakiwa??!!
Mimi tena? Mimi nimesema hayo ili ku pointi kuwa huyo binti haaminiki na huyo anaesemwa alimpa mimba yawezekana hata hamjui
 
Siasa ilitufikisha pabaya sana kama taifa. Halafu yule mhalifu Ole Sabaya asiposhughulikiwa na mahakama za kidunia basi Mungu atashughulika nae.
Sawa Aikael Mbowe, Hivi kwenye Post zako Kila Sekunde Sebaya Sebaya kwani amekufanya nini? Au kushindwa Ubunge ndo sababu
 
Binti ana kesi ya kujibu. Baba tarajiwa imesthibika si yeye! Kaidanganya mahakama
Usikute alihusika, lakini matokeo ya DNA yamechezeshwa. Sijawahi kumwamini hakimu wala mkemia hata hata siku moja.

Kuna kisa kimoja cha kitambo kidogo. Binti mwanafunzi wa sekondari alitoa mimba kwa msaada wa daktari. Kwa bahati mbaya ilimharibu kiasi cha kupoteza maisha.

Kabla hajafa alihojiwa na polisi na akaeleza nazingira yote ya tukio na kumtaja mhusika. Mhusika alipokamatwa alikiri kosa na akaonyesha alipofanyia zoezi hilo. Taratibu za kisheria zikaanza. Kesi mahakamani na sample za dawa zilizokutwa eneo la tukio zilipelekwa mahakamani.

Amri ya mahakama ikatuma vitu hivyo kwa mkemia mkuu. Ripoti iliyorudi ilisema hakuna uhusiano kati ya sample hizo na utoaji mimba na binti hakufa kwa tukio la kutoa mimba bali ni kuvuja damu kupita kiasi akiwa siku zake za hedhi.

Kesi iliishia hapo na mtuhumiwa aliachiwa huru na kurudishwa kazini.
HII NDIYO DUNIA YA WENYE HELA NA MAMLAKA.
 
Huyu ni mmoja tu Wa watu wengi waliozushiwa mambo mengi katika kila sehemu iwe mtumishi wa umma ungesingiziwa wewe chadema ukaumizwa sana,au mfanya biashara ungepigiwa kodi kubwa kwa kweli watu wameumia sana.
 
Mkuu kwahiyo wewe adhima yako ni kuona diwani anafungwa 60 years au? Mahaka imekanusha wewe unakuja na hadithi
 

Kazi ya Dc sabaya ya kubambikizia watu kesi
 
Sawa Aikael Mbowe, Hivi kwenye Post zako Kila Sekunde Sebaya Sebaya kwani amekufanya nini? Au kushindwa Ubunge ndo sababu
Haitwi Sebaya ni Sabaya. Halafu kama jina lake Tu unakosea unakuwaje na ujasiri wa kumtetea?
 
Sawa Aikael Mbowe, Hivi kwenye Post zako Kila Sekunde Sebaya Sebaya kwani amekufanya nini? Au kushindwa Ubunge ndo sababu
Haitwi Sebaya ni Sabaya. Halafu kama jina lake Tu unakosea unakuwaje na ujasiri wa kumtetea?
 
Pole Sana diwani kwa mkasa huo, ulikataa kufanywa bidhaaa, ulisimama na chadema, haukutaka kuwa msaliti.
Sasa kituo kinachofuata kafungue kesi mahakama kuu kudai fidia Ili huyo Mwanafunzi na waliomtuma wakulipe fidia.
 
MEKO afadhari amekufa,maana alikuwa ni kiongozi mkatili kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania. Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kwa uamuzi wake, maana sisi watanzania tulishashindwa .MATAGA wapo tu kimya wanaendelea kumlilia dikteta wao
 
NOMA SANA AISEEE,MAMBO YA AJABU KABISA,DIWANI ADAI FIDIA TU AJICHUKULIE MKWANJA WAKE KWA ULAINIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…