Yaani mimi nilivyomchokozi ningejipitisha kwa maadui zangu kila mara ili kuwakera tu[emoji28][emoji28][emoji28]Wapite Rau Madukani wamkatie nundu yule mdada wa mbege na nyamachoma kama zawadi ya kuwapaisha.
Sasa ng'ombe dume wa nini, wa kuchinja na kula nyama? Hao watoa zawadi hawajui kuwa madume hayazai?
Obama alipokuja hapa alipewa zawadi ya kinyago; alikuwa anahitaji kinyago kweli? What matters is the meaning behind the prize.Sasa ng'ombe dume wa nini, wa kuchinja na kula nyama? Hao watoa zawadi hawajui kuwa madume hayazai?
Lakini najiuliza alipo mwenzao anayesemekana alitoweka kininja ninja vile! Sijui anaitwa Lijenje?CCM imewa-promote sana hawa jamaa, sasa hivi wanajulikana Tanzania zaidi ya Shaka.
SureObama alipokuja hapa alipewa zawadi ya kinyago; alikuwa anahitaji kinyago kweli? What matters is the meaning behind the prize.
Alikua anamgeza Mayele labdaNg’ombe wa mayele alikua anatetemeka sijui alikua anasikia baridi yule
1. Sirro hana amaniLakini najiuliza alipo mwenzao anayesemekana alitoweka kininja ninja vile! Sijui anaitwa Lijenje?
Na Denis Urio, je, anajisikiaje? Yule mama wa mbege pale Rau?
Siku chache zijazo tutakuambia habari za Lijenje , kikosi kazi cha Uhakika kimetumwa kazi .Lakini najiuliza alipo mwenzao anayesemekana alitoweka kininja ninja vile! Sijui anaitwa Lijenje?
Na Denis Urio, je, anajisikiaje? Yule mama wa mbege pale Rau?
We dada acha uongo,ndama unaita ng'ombe?View attachment 2157070
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi , leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe , aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja , pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini .
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .
.
Kwa hiyo hata hawawezi kubadilisha ili wapate jike la kuzaa ?Kimila hiyo ni heshima kubwa mno
Hawa makomandoo wamenifanya nihamie chadema najisikia raha sanaView attachment 2157070
Makomandoo hao ambao ni Walinzi wa Freeman Mbowe kwa kinachoitwa ( VIP PROTECTION ), waliokamatwa na kuwekwa Gerezani kwa miezi mingi , leo wamefika Hai Mkoani Kilimanjaro pamoja na Mtuhumiwa mwenzao Mbowe , aliyeenda huko kutoa Sadaka ya Shukrani kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame
Pamoja na kuzawadiwa ng'ombe dume wakubwa kabisa kila mmoja , pia wamepewa BAHASHA NZITO NZITO SANA kila mmoja , ambazo ndani yake haifahamiki mmewekwa nini .
Zawadi hizo zote zimetolewa na Wazee wa Machame kama sehemu ya Shukrani zao kwa Makomandoo hao kwa Uaminifu wao kwa Mbowe kutokana na kinachoitwa Kukataa kutoa Ushahidi wa Uongo ili ionekane Mbowe ni Gaidi hata baada ya kuteswa sana kuliko karibia kifo , uaminifu wa Makomandoo hawa umewapa heshima kubwa sana mbele ya Jamii .
.
Wameona hao ng'ombe dume hawana faida kwao hawaongezeki.Sasa ng'ombe dume wa nini, wa kuchinja na kula nyama? Hao watoa zawadi hawajui kuwa madume hayazai?
Angalia nawe usije kuliwa bure maana unapenda vya bure.Komandoo na zawadi ya ng'ombe haya acha Leo tuweke akiba ya maneno. Niko machine tools hapa nasubiri usafiri nikale pombe za tambiko
Hatuwezi kuwapangia matumiziKwa hiyo hata hawawezi kubadilisha ili wapate jike la kuzaa ?
Kichwa kimejaa mawazo machafu hasara tupu si bora ungekufa wakati unazaliwa. Ukilala malaika mtoa roho apite na weweAngalia nawe usije kuliwa bure maana unapenda vya bure.
🤣🤣🤣🤣🤣Natumaini hao ng'ombe hawatakuwa wamekonda kama yule wa Mayele.View attachment 2157074
umeambiwa ni makomandoo sio wafugaji kama wewe!!!Sasa ng'ombe dume wa nini, wa kuchinja na kula nyama? Hao watoa zawadi hawajui kuwa madume hayazai?
Rudisha akili kidogo twambie Sasa katika kabila la wachaga mtu kupewa ng'ombe dume inaashiria nn usiropoke tu ilimradiSasa ng'ombe dume wa nini, wa kuchinja na kula nyama? Hao watoa zawadi hawajui kuwa madume hayazai?