Hai, Kilimanjaro: Komandoo Adamoo na wenzake wazawadiwa ng’ombe dume kila mmoja

We dada acha uongo,ndama unaita ng'ombe?
 
Hawa makomandoo wamenifanya nihamie chadema najisikia raha sana
 
Komandoo na zawadi ya ng'ombe haya acha Leo tuweke akiba ya maneno. Niko machine tools hapa nasubiri usafiri nikale pombe za tambiko
Angalia nawe usije kuliwa bure maana unapenda vya bure.
 
CDM huwaita VIP protection au Makomandoo wa Mbowe.


Walipata mafunzo JKT , JW au ni Jeshi la Akiba (Mgambo)?

Inaruhusiwa kuwa na mlinzi binafsi kutoka JW au JKT ?

Naombeni mnipe uelewa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…