Miss Jf2018
Member
- Nov 27, 2018
- 37
- 50
- Thread starter
-
- #21
BadoVipi tayari
Sema walah..Bado
SitukanagiHUMU MATUSI MAZITO MAZITO YALE NI MARUFUKU MANAKE UTAPAMBANA NA SURVEYOR WA JF UTAKULA BAN
Wewe miss mkoani hii ni JamiiForums sio forumuHabari za huju jamii forumu mimi mgeni Naombeni mnipokee na mnijulishe sheria za humu
Asanteni natokea mkoani
Hongera sn.Vip mipango yako ya kujenga familia yako iliyo kamili ipo vip?Nina mtoto ndiyo
Wakati wa Mungu ukifika mambo yatakua poa tuSema walah..
Sasa umejipangaje
Ipo sana ila bado nipo nipoHongera sn.Vip mipango yako ya kujenga familia yako iliyo kamili ipo vip?
Kwa hiyo huku ukitaka kumuandikia mtu inbox ndo unasema pm???
Sawa nisamehe bado mgeniWewe miss mkoani hii ni JamiiForums sio forumu
Wakati wa Mungu ukifika mambo yatakua poa tu
Huoni kuwa muda waenda?Ipo sana ila bado nipo nipo
Asante, je kugusa kitufe cha inbox nagusa wapiPrivate Massage karibu jamiiforum
Usijali karibu nitakua mwenyeji wakoSawa nisamehe bado mgeni
HayaUsijali karibu nitakua mwenyeji wako
Hapo kwenye message ndio ukitaka kuandika ujumbe ila angaliaAsante, je kugusa kitufe cha inbox nagusa wapi
Ndiyo lakini nahitaji mume bora, c bora mwanaume, ni bora muda uende ila nipate chaguo jema kuliko kuwahi alafu baada ya siku mbili nianze kulia liaHuoni kuwa muda waenda?
Eeh nimeona, nilikuwa sielewi kazi ya hiko kitufeHapo kwenye message ndio ukitaka kuandika ujumbe ila angaliaView attachment 948349
Hmm! Haya sasa jiandae kisaikolojia tuEeh nimeona, nilikuwa sielewi kazi ya hiko kitufe
KivipiHmm! Haya sasa jiandae kisaikolojia tu