tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Haya basi vizuri Kwa kuwa na uelewa huu.Swali lingine gumu nimearisha kukuuliza.Best wishes dearNdiyo lakini nahitaji mume bora, c bora mwanaume, ni bora muda uende ila nipate chaguo jema kuliko kuwahi alafu baada ya siku mbili nianze kulia lia