Haya basi vizuri Kwa kuwa na uelewa huu.Swali lingine gumu nimearisha kukuuliza.Best wishes dearNdiyo lakini nahitaji mume bora, c bora mwanaume, ni bora muda uende ila nipate chaguo jema kuliko kuwahi alafu baada ya siku mbili nianze kulia lia
Umeshawahi tapeliwa? Au ulisha wahi ingia kwenye mapenz ukaachwa?Kivipi
Click hiyo bahasha iliyofinguliwa, then kwa chino Julia utaona bahasha ilifungwa, fingia hiyo kisha endelea kama inavyoandika barua pepe!Kwa hiyo huku ukitaka kumuandikia mtu inbox ndo unasema pm???
Nikafiki umeleta taarifa kutoka wilayani HAI!Habari za huju jamii forumu mimi mgeni Naombeni mnipokee na mnijulishe sheria za humu
Asanteni natokea mkoani
[emoji23][emoji23]na kwa style alioingia nayo lolote laweza mkuta.Hmm! Haya sasa jiandae kisaikolojia tu
Wewe miss mkoani hii ni JamiiForums sio forumu
Hahah! Nampa abc mgeni[emoji1][emoji1][emoji1] nakuona boss mode kazini
Hahah! Nampa abc mgeni
Kwema lakin hukoVizuri boss
Kwema lakin huko
Huku safi na salama, za majukumu?Huku salama,za huko?
Huku safi na salama, za majukumu?
Sawa, salimia ndugu&jamaaNzuri kabisa boss
Haha, dingii weweHmm! Haya sasa jiandae kisaikolojia tu
Rabekha...!!Haha, dingii wewe
Nimependa tu hints zako kwa mgeni... Mambo!Rabekha...!!
[emoji16][emoji16] mgeni inabidi tumuonyeshe na kumpa tahadhari juu la lolote linalohusu humuNimependa tu hints zako kwa mgeni... Mambo!