Miss Jf2018
Member
- Nov 27, 2018
- 37
- 50
- Thread starter
-
- #81
Ndiyo, kwani kuna tatizo???Welcome singo maza naona idadi inazidi kuongezeka tu humu
Ccm au Chadema?
Habari za huju jamii forumu mimi mgeni Naombeni mnipokee na mnijulishe sheria za humu
Asanteni natokea mkoani
Karibu muda wowoteAsante kw ukarimu
1. Weka picha yako ukiwa uchi
2. Weka namba yako ya simu ila unitumie mimi tu
3. Taja unaishi wapi
4. Ukipanga kukutana nami usimwambie mtu yeyote humu JF wala marafiki zako na polisi
5. Uwe umesha pima magonjwa ya zinaa/maambukizi kisha ulete kadi yako tukikutana
mengine siku ya kuonana, karibu sana.
Tunaomba picha tukufaham zaidiDuh mbona unaniogopesha
Tunaomba picha tukufaham zaidi