Haichukui nafasi ya Daktari

Haichukui nafasi ya Daktari

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
HAICHUKUI NAFASI YA DAKTARI usizidishe message juu ya message ambayo haijajibiwa especially ya mpenzi usilete unyonge

- Haichukui nafasi ya daktari usitume na ya kutolea kama Kila siku anakupiga kalenda

-Haichukui nafasi ya daktari mara moja moja kunywa bia mbili kalale

- Haichukui nafasi ya daktari
ukiombwa tunda la katikati mwanadada usibanie utazikwa nalo tunda

-Haichukui nafasi ya daktari unapofika eneo la watu wengi kwenye barabara punguza mwendo

-Haichukui nafasi ya daktari unapokatiza mitaa usiyoijua salimia hao watu unaopishana kunakukosea njia shauri yako🤣utadhalilika lakini pia majirani jenga utaratibu wa kuwasilimia

_Haichukui nafasi ya daktari unapoenda kusalimia sehemu kweli nenda kasilimie kwa mda uliopanga usipafanye makazi watu wanaishi kwa bajeti

-Haichukui nafasi ya daktari unapokutana na mwanadada aliyejazia usigeuze sana shingo kumwangalia🤣(Sema dah hii mizigo itatuua)

Kwa leo niishie hapa, haya tuendeleze na mambo mengine Ambazo Hayachukui nafasi ya daktari.............
 
Haichukui nafasi ya udaktari.........
 
Lile tangazo la haichukui nafasi ya daktari linaboa sana, huyu jamaa anaongeaga kizembe sana.

Yaani kabla ya kuanza kusikiliza tangazo lote mood inapotea.
 
Lile tangazo la haichukui nafasi ya daktari linaboa sana, huyu jamaa anaongeaga kizembe sana.

Yaani kabla ya kuanza kusikiliza tangazo lote mood inapotea.
🤣Asie linakata stimu kichizi unakuta kuna information muhimu unataka kuchukua
 
Sijui hebu niambie ni yapi nachojua maji ya mchele inasemekana yanatibu watoto vikojozi pia baadhi ya wanawake wanayanawia usoni kama kuboresha ngozi ya uso
😂😂😂😂 Usije ukanywa tuu...
Ishia kunawa ila kunywa NOOO NOOO usije jaribu...
.kwa sasa siwezi sema kila kitu kuhusu madhara yake kutokana na kuogopa watu wanaweza nidhania mimi kijana wa hovyo
 
Back
Top Bottom