HAICHUKUI NAFASI YA DAKTARI usizidishe message juu ya message ambayo haijajibiwa especially ya mpenzi usilete unyonge
- Haichukui nafasi ya daktari usitume na ya kutolea kama Kila siku anakupiga kalenda
-Haichukui nafasi ya daktari mara moja moja kunywa bia mbili kalale
- Haichukui nafasi ya daktari
ukiombwa tunda la katikati mwanadada usibanie utazikwa nalo tunda
-Haichukui nafasi ya daktari unapofika eneo la watu wengi kwenye barabara punguza mwendo
-Haichukui nafasi ya daktari unapokatiza mitaa usiyoijua salimia hao watu unaopishana kunakukosea njia shauri yako🤣utadhalilika lakini pia majirani jenga utaratibu wa kuwasilimia
_Haichukui nafasi ya daktari unapoenda kusalimia sehemu kweli nenda kasilimie kwa mda uliopanga usipafanye makazi watu wanaishi kwa bajeti
-Haichukui nafasi ya daktari unapokutana na mwanadada aliyejazia usigeuze sana shingo kumwangalia🤣(Sema dah hii mizigo itatuua)
Kwa leo niishie hapa, haya tuendeleze na mambo mengine Ambazo Hayachukui nafasi ya daktari.............
- Haichukui nafasi ya daktari usitume na ya kutolea kama Kila siku anakupiga kalenda
-Haichukui nafasi ya daktari mara moja moja kunywa bia mbili kalale
- Haichukui nafasi ya daktari
ukiombwa tunda la katikati mwanadada usibanie utazikwa nalo tunda
-Haichukui nafasi ya daktari unapofika eneo la watu wengi kwenye barabara punguza mwendo
-Haichukui nafasi ya daktari unapokatiza mitaa usiyoijua salimia hao watu unaopishana kunakukosea njia shauri yako🤣utadhalilika lakini pia majirani jenga utaratibu wa kuwasilimia
_Haichukui nafasi ya daktari unapoenda kusalimia sehemu kweli nenda kasilimie kwa mda uliopanga usipafanye makazi watu wanaishi kwa bajeti
-Haichukui nafasi ya daktari unapokutana na mwanadada aliyejazia usigeuze sana shingo kumwangalia🤣(Sema dah hii mizigo itatuua)
Kwa leo niishie hapa, haya tuendeleze na mambo mengine Ambazo Hayachukui nafasi ya daktari.............