Haifai kuwa mtu wa lawama kila unapopiga au kupigiwa simu

Haifai kuwa mtu wa lawama kila unapopiga au kupigiwa simu

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Mtu anakupigia simu au umempigia simu unaanza, "Oooh simu zangu hupokei siku hizi, umenitupa.

Hunitafuti mpaka nikutafute." na maneno mengine kama hayo ya kutaka kumfanya mtu ajihisi guilt.

Hiyo ni tabia mbaya na roho mbaya. Haifai. Kuwa na mazungumzo ya shangwe utaona watu wanavyokupigia na kupokea simu zako.
 
Mtu anakupigia simu au umempigia simu unaanza, "Oooh simu zangu hupokei siku hizi, umenitupa.

Hunitafuti mpaka nikutafute." na maneno mengine kama hayo ya kutaka kumfanya mtu ajihisi guilt.

Hiyo ni tabia mbaya na roho mbaya. Haifai. Kuwa na mazungumzo ya shangwe utaona watu wanavyokupigia na kupokea simu zako.
kabsa unakuta mtu hamjaongea mwezi mmoja sku hyo kaweka vocha kakutafuta anaanza kulalama hunitafuti mpka nkutafute mm aaah!!!🤣😆 fvckoff
 
Back
Top Bottom