Haihitaj kuwa na akili ya ziada kujua kuwa viogziwa dini wanaingiza siasa kwenye suala la katiba

Haihitaj kuwa na akili ya ziada kujua kuwa viogziwa dini wanaingiza siasa kwenye suala la katiba

gwamaka aswile

Senior Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
186
Reaction score
106
TAnzania inapita katika kipindi kigumu sana sasa. Hii ni kwasababu siasa imeingizwa kwenye dini na dini kwenye siasa. Watu wanaongea kwasababu tu wanataka kujulikana. Unashangaa unaposikia askofu mkubwa anapominyauhuu wa kimawazo wa viongozi wenzake na kua kulie na mawazo yake tu. Hii ni nchi ya kidemokrasia ambayo maana yake kila mtyuko huru kuchagua yupi aungane naye na yupi asiungane naye. Aunge mkono kpi na apinge kipi. Lakini pamoja na uhuru huu imengia tabia ya mashinikizo unapomsikia kiongozi wa dini anasema kuwa ntawashawishi waumini waikubali au kuikataa katiba eti kwasababu haijaweka kitu fulani unawaza mara mbili mbili anaongea baada ya tafakari au kuna kitu cha ziada?

Inapofikia hatua dini kubwa mbili zinakinzana kimsimamo juu ya jambo gani liwemo au lisiwemo kwenye katiba ni hatari zaidi. Viongozi hawa tunaowaamini sana wanachochea moto mkubwa halafu wenyewe wanakaa pembeni. Embu jamani tujiulize kama dini zote zinahimiza upend
 
TAnzania inapita katika kipindi kigumu sana sasa. Hii ni kwasababu siasa imeingizwa kwenye dini na dini kwenye siasa. Watu wanaongea kwasababu tu wanataka kujulikana. Unashangaa unaposikia askofu mkubwa anapominyauhuu wa kimawazo wa viongozi wenzake na kua kulie na mawazo yake tu. Hii ni nchi ya kidemokrasia ambayo maana yake kila mtyuko huru kuchagua yupi aungane naye na yupi asiungane naye. Aunge mkono kpi na apinge kipi. Lakini pamoja na uhuru huu imengia tabia ya mashinikizo unapomsikia kiongozi wa dini anasema kuwa ntawashawishi waumini waikubali au kuikataa katiba eti kwasababu haijaweka kitu fulani unawaza mara mbili mbili anaongea baada ya tafakari au kuna kitu cha ziada?

Inapofikia hatua dini kubwa mbili zinakinzana kimsimamo juu ya jambo gani liwemo au lisiwemo kwenye katiba ni hatari zaidi. Viongozi hawa tunaowaamini sana wanachochea moto mkubwa halafu wenyewe wanakaa pembeni. Embu jamani tujiulize kama dini zote zinahimiza upend
Mi naona viongozi wa dini wamekuwa vigeugeu badala ya kuendelea na mambo yao ya dini sasa wanaonekana wameshindwa kuhubiri neno la Mungu sasa wanichanganya na dini, sio vizuri kabisaaaa.
 
Wala hatuko katika kipidi kigumu acha uzembe wa kufikiri, suala hapa ni watanzania wote kuheshimu Katiba ambayo iko clear ile ya mwaka 1977 na Katiba pendekezwa ya Oktoba 2014 imeweka wazi handling ya masuala ya dini na tulikua tunaishi vizuri sana,kikubwa wananchi tujielewe tuelewe misingi yetu ili tuishi kama ilivyokua zamani.
 
Tatizo ni siasa kuwekeza makanisani na misikitini... Na dini zikakubali kutumikishwa na siasa
 
Back
Top Bottom