Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Atatangazwa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutahangaika naye mpaka kieleweke!!Kaijage usipompitisha Lissu utatujibu sisi walipa kodi tunaolipa mshahara wako.
Lumumba safari hii kazi wanayo ngombea wao kabuma auziki wote watamkimbia ngoja kidogoWengine ni wakulima huku Kibondo hatuhitaji teuzi tunataka utawala wa haki.
Rushwa na mchango wangu vinahusiana nnWewe subiri pesa ya rushwa kama huyu mwenzako aliyejificha na pesa kwenye kofia
View attachment 1533897
Mi nimekuombea mungu tu azidi kukutia nguvu mzee baba hasa kwenye maisha binafsi kwa ujasili ulio nao maswala ya uoga yanatokea wapiMapinduzi duniani huwa hayafanywi na watu wote bali hufanywa na wachache waliojitoa kwa ajili ya watu wote.
Fidel Castro au Che Guevara waliongoza mapinduzi kuwatoa watawala madikteta ili wananchi walio wengi waweze kuishi maisha yenye uhuru na maendeleo.
Waoga kama wewe mtoa post endleeni kukaa makwenu, waachieni akina Lissu wafanya kazi waliyojitolea.
Utawala wa haki unafananaje na usio haki unafananaje? We umetimiza wajibu kwa kiasi gani kabla hujaitaka hiyo haki?? Hakuna haki bila wajibu.Wengine ni wakulima huku Kibondo hatuhitaji teuzi tunataka utawala wa haki.
Wajinga ni wote tuwe na kadi za CCM ili kupata ajira?Utawala wa haki unafananaje na usio haki unafananaje? We umetimiza wajibu kwa kiasi gani kabla hujaitaka hiyo haki?? Hakuna haki bila wajibu.
Uwe jasiri au muoga kifo huwezi kukikwepa. Nafuu kufa unapambana kuliko kuishi unapiga magoti.Mi nimekuombea mungu tu azidi kukutia nguvu mzee baba hasa kwenye maisha binafsi kwa ujasili ulio nao maswala ya uoga yanatokea wapi
Hakuna mahali umeambiwa upate ajira kwa kadi ya ccm..asilimia kubwa ya waajiriwa ni upinzani kama hujui..ndio hao wanaoichukia serikali kwa sababu wanatakaWajinga ni wote tuwe na kadi za CCM ili kupata ajira?
Amewaharibia ndoto watu wengi sana.Huyu mshamba wa vitu lazima ang'oke'
Hayo ni ya awamu ya tano.Umesahau namba ya simu ili NI YEYE akipita akupe teuzi.