Haiingii akilini Serikali kupendekeza kuanzisha tozo ya ving'amuzi wakati kuna mapato yanapotea eneo la uvuvi wa bahari kuu. Huu ni uonevu usiofaa

Haiingii akilini Serikali kupendekeza kuanzisha tozo ya ving'amuzi wakati kuna mapato yanapotea eneo la uvuvi wa bahari kuu. Huu ni uonevu usiofaa

Mimi tangu anateuliwa huyu jamaa kwenye hiyo Wizara, nilijua moja kwa moja cha moto tutakiona.

Na huu ndiyo ukweli mchungu! Akiachwa kwenye hii Wizara mpaka 2025, basi wananchi wengi watafika wakiwa wamechoka sana.
Hafai kabisa
 
Back
Top Bottom