Haijapita Hata Wiki Tangu Spika Tulia Ackson na Mahakama Kuu kusema Habari za Utekaji ni dhana tu

Haijapita Hata Wiki Tangu Spika Tulia Ackson na Mahakama Kuu kusema Habari za Utekaji ni dhana tu

Kwa sasa ukitetea au kupaza Sauti juu ya kinachoendelea na wewe unakuwa kwenye Target List.

Mbunge mmoja wa viti Maalum alitoa hoja juu ya kukithiri watu kuuawa, kupotezwa, kutekwa na watoto wakiwemo. Lakini kwa Mshtuko Mkubwa Dr Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ww Tanzania hakulipa Umuhimu jambo hilo na kudai kuwa Habari za utekaji hazijamfikia rasmi hivyo hana sababu ya kulipa kipaumbele kwenye Meza yake ya Uspika.

Ndani ya wiki hiyi hiyo moja waathrika wa Kadhia hii wakiwemo watu wenye mapenzi Mema na Mawakili waliwakilisha malalamiko yao kisheria kupitia mifumo ya Utoaji Haki wakilenga Mahakama zitoe Maelekezo Muhimu na mwongo juu ya kukabiliana na hali hii kupitia vyombo vya Usalama na Polisi.

Hata hivyo matokeo ya usikilizwaji wa maombi hayo yaliwavunja moyo watanzania wengi kwa namna Majaji wa Mahakama walivyochukulia jambo hilo kwa wepesi sana huku likigharimu Uhai wa Watanzania siku hadi siku.

Kabla Week haijaisha watekelezaji wa vitendo vya kinyama wamefanya tena. Je bado Mahakama nq Bunge wanasubiri tena taarifa Rasmi?

Soma Pia:
Spika anatufahamu vizuri sana sisi Watanzania tuko kama wanyama, akili zetu na za wanyama ni sawa labda kitokee kizazi kingine.

20240909_064617.jpg
 
Mbona pk na m7 wanaishi vizuri tu
Tofautisha hali walikozitoa nchi zao na walivyozituliza na Watu wanaishi kwa amani.
Tanzania CCM wanawaza kumwaga damu kuliko kufanya uchaguzi wa huru.
Mitano tena inawatoa imani CCM mpaka wanamkufuru Mungu .
 
Back
Top Bottom