OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usimsahau balozi kwenye hiyo listYes ni ngoma kali sana asa ujumbe usika.
2.Mambo mazuri yapo mbele mbele_dj yusuph
3.waite polisi_Roho saba.
Ile ngoma ya Balozi ni kama imeimbwa jana. hata swags zake ni current sanausimsahau balozi kwenye hiyo list