👆kolo kafika makundi kapama 600million kafika robo kapata 800million
kabeba mapinduzi na bado atapata pesa ya mshindi wa pili wa ligi na bado azam federation atabeba yani mpaka hapo kwa halaka halaka kolo yuko juu ya uto kwa swala la pesa iliyo ingia mwaka huu
Mnyama kapiga hela ndefu ila hana kelele kama za hao utopolo. Weka na mkwanja wa kuuza miquisone na chama hapo.👆
Hili lina ukweli ?..
Championship Ghazwat Scars CHAMASON-MORISON-SAKHOSON OKW BOBAN SUNZU njaakalihatari
Walikuwa wanatoa m10 per game hesabu mechi ngapi?Jambo la kujiuliza ni chenji itakayobaki ni sh. ngapi baada ya kuwalipa waamuzi na magolikipa
Kuna pesa ya group stage na ya quarter final. Umeweka sawa kumbukumbu zako?CAF mlipewa milion 600.....
jamaa hujasoma huko juu?Bonus bilion 3 ???? Kwa misingi ipi.???
Ufafanuzi please
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Federation ipi tena wajameni?kolo kafika makundi kapama 600million kafika robo kapata 800million
kabeba mapinduzi na bado atapata pesa ya mshindi wa pili wa ligi na bado azam federation atabeba yani mpaka hapo kwa halaka halaka kolo yuko juu ya uto kwa swala la pesa iliyo ingia mwaka huu
Bunju federation cupFederation ipi tena wajameni?
MAKOLO [emoji23][emoji23]Ukiwa shabiki wa Yanga tu,automatic unakuwa hauna akili[emoji23]
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kwenye Azam confederation.... MAKOLO tuliwapa sh. Ngapi tuwafunge[emoji23][emoji23]Walikuwa wanatoa m10 per game hesabu mechi ngapi?
Wananunua goli 1 kwa 1m
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app