Pre GE2025 Haikuwa sahihi Samia Suluhu alivyotangazwa mapema kuwa mgombea urais 2025 kupitia CCM

Pre GE2025 Haikuwa sahihi Samia Suluhu alivyotangazwa mapema kuwa mgombea urais 2025 kupitia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Siwezi kutoa maoni, kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
 
Siwezi kutoa maoni,kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.
Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.
Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.
Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.
Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.
Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.
Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.
Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.
Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni
 
Siwezi kutoa maoni,kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
Wewe ulitakaje sasa?
 
Siwezi kutoa maoni,kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
Kapitishwa kihuni huni sana , anapitishwa bila hata kuchukua fomu hii imekaaje?
 
Ndiyo ameshateuliwa. Na hakuna kitu utafanya!

CCM si ya mchezo mchezo ati!

IMG-20250119-WA0178.jpg
IMG-20250119-WA0172.jpg
 
Zile fedha alizochangiwa na vikundi mbalimbali ili kuchukua fomu ya kugombea urais zimeshaliwa!
 
Siwezi kutoa maoni, kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
Lakini I would like to put it on record kwamba mimi sijawahi kusema kitu chochote kumpings huyu Rais.
But then,sijawahi kusema kitu kumsifu.
 
Siwezi kutoa maoni, kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
Crap
 
Siwezi kutoa maoni, kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
Ikiwa kupitishwa kwa majina hayo kulitumia mbinu au nguvu hizo, je kwenye uchaguzi Mkuu itakuwaje
 
Siwezi kutoa maoni, kwa sababu hili ni jambo tu ambalo wananchi watalijadili kuanzia kesho asubuhi.
Kwa hiyo hainihusu mimi kutoa maoni.

Flyover zimejengwa,barabara zimejengwa,shule zimejengwa. Sawa,lakini lakini sasa lazima human rights record ya huyu Rais na serikali yake hii.

Na unapoelekea kipindi cha Uchaguzi unamtaka Rais mnyenyekevu ambaye anapiga goti kuwasalimu watoto wa chekechea.

Anakuwa mnyenyekevu,anamtanguliz Mungu mbele,mpaka Uchaguzi ukiisha,akipata urais,ndio anapumua kwa urahisi na anaanza udikteta kwa vile ameshapata mandate.

Sasa hapa hata mtu akiwa mbobezi wa siasa itakuwa vigumu kutoa maoni kinyume na huu Mkutano Mkuu wa CCM ulivyoamua leo.

Inakuwa kama vile ipo hatari Fulani iwapo Rais Samia asipothibitishwa mapema.

Rais ambaye kwa ishara xote inaonyesha kwamba atachaguliwa kuwa mgombea baadaye mwaka huu,lakini bado anaharakisha.

Kwa hiyo sijui Tundu Lissu akishinda Uchaguzi kesho naye pia anaweza kujitangaza kuwa mgombea urais.
Haya mambo hayanihusu. Siasa za Tanzania hazijawahi kunihusu.

Ukimtangaza mgombea urais wa CCM mapema inaweza kutokea deterioration katika human rights situation.
SAMIA madaraka yamemkolea
 
Back
Top Bottom