Pre GE2025 Haina haja ya kutumia nguvu sana. Hivi vitu 2 tu vitawafanya Watanzania kuzuia Uchaguzi hapo Oktoba, 2025

Pre GE2025 Haina haja ya kutumia nguvu sana. Hivi vitu 2 tu vitawafanya Watanzania kuzuia Uchaguzi hapo Oktoba, 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kwa mujibu wa takwimu zisizo rasmi matumizi ya simu nchini Tanzania yamefikia karibu Wananchi Milioni 30 hadi 40.

Kwenye hao wanaotumia simu. Matumizi ya simu janja yaaani smartphones yanaweza kufikia watu milioni 17.

Pia takwimu hizi zinasema karibu asilimia 90 ya Watanzania wanaamini katika dini ( Ukristo na Uislamu)

Kwa takwimu hizi ingawa sio rasmi sana. Ukifanya haya utawafanya Watanzania kuzuia uchaguzi.

1. Kutengenezea audio na video clips za matamko ya Nape Nnauye na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido wakizungumza namna CCM wanavyoshinda uchaguzi kiharamu alafu clips hizo zikasambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikiwa kwa mfumo wa paid ads ( WhatsApp, Facebook, Instagram, Tiktok na X) ili ujumbe wa uchaguzi unavyonajisiwa kuwafikia Watanzania wengi hasa Vijana.

2. Kuwashauri tu Maaskofu na Masheikh ( Kuunga mkono maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya Katiba na Sheria na Wakatoa matamko rasmi.

Mfano hapa unaweza kuzungumza na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) ambao wanaofahamika kusimamia Haki miaka yote na Wakatoa tamko kuwa Wataongoza au kushiriki Maandamano ya Amani kushinikiza Mabadiliko ya Katiba na Sheria za Uchaguzi ili tufanye uchaguzi huru na haki.

Wanaouliza Uchaguzi utazuiwaje haya ndo majibu kwao. Haitaitaji kuwa na mabomu au silaha za kupigana na askari. Haitahitaji kuwa na majeshi ya kupigana na polisi. Njia hizi mbili tu zitazuia uchaguzi Coming October, 2025.

20250304_172939.jpg
 
Uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa sheria na katiba yetu, kutaka kuuzuia ni kuvunja sheria za nchi na kosa la jinai., sasa sijui nani mwenye akili timamu anapendelea kuvunja sheria na kukaa gerezani, badala ya kuendesha biashara zake apate chochote kwa mahitaji ya Familia yake,
--NYIE WANASIASA HUMO NDIMO KAZINI KWENU, AMANI NA UTULIVU KWA BIASHARA ZETU UKIBOMOKA NYIE HAIWAHUSU--
 
Uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa sheria na katiba yetu, kutaka kuuzuia ni kuvunja sheria za nchi na kosa la jinai., sasa sijui nani mwenye akili timamu anapendelea kuvunja sheria na kukaa gerezani, badala ya kuendesha biashara zake apate chochote kwa mahitaji ya Familia yake,
--NYIE WANASIASA HUMO NDIMO KAZINI KWENU, AMANI NA UTULIVU KWA BIASHARA ZETU UKIBOMOKA NYIE HAIWAHUSU--
Anayeiba uchaguzi ndo anayevunja amani na kulifanya taifa letu kutoendelea kutokana na kutopata Viongozi sahihi.
 
Nchi yetu ya mazombi tupu majoga,majinga,manafiki,machawa,ujinga mtupu mbaya zaidi vijana wengi hawapigi kura Wala kufuatilia siasa gen z wetu hawajtambui kabisa Wala kujiandisha tu hawataki wameridhika na kazi ya bodaboda,bajaji,kwisha kazi,
Hasira za nini mzee wewe Kwa huo umri wako umefanya nini au ulizaliwa na mama Yako ukiwa mzee unafikiri Kuna mtu atakaekubali kufa Kwa ajili Yako ?
 
Nchi yetu ya mazombi tupu majoga,majinga,manafiki,machawa,ujinga mtupu mbaya zaidi vijana wengi hawapigi kura Wala kufuatilia siasa gen z wetu hawajtambui kabisa Wala kujiandisha tu hawataki wameridhika na kazi ya bodaboda,bajaji,kwisha kazi,
Njia hiyo ya kwanza ndo ya kuwafikia hao Gen Z ambao ndo sehemu kuwa ya Watanzania
 
Hasira za nini mzee wewe Kwa huo umri wako umefanya nini au ulizaliwa na mama Yako ukiwa mzee unafikiri Kuna mtu atakaekubali kufa Kwa ajili Yako ?
Tunawafahamu walio tayari kufa kwa ajili yetu. Mfano unaotembea ni Lissu tu ambaye ma CCM mlimpiga risasi zaidi ya 16 ila kwa mapenzi ya Mungu yupo hai hadi leo hii.
 
Tunawafahamu walio tayari kufa kwa ajili yetu. Mfano unaotembea ni Lissu tu ambaye ma CCM mlimpiga risasi zaidi ya 16 ila kwa mapenzi ya Mungu yupo hai hadi leo hii.
Nashangaa we bado upo hai utaki kufa Kwa ajili ya watanzania ila upo nyuma ya keyboard mpaka Sasa hivi
 
Nashangaa we bado upo hai utaki kufa Kwa ajili ya watanzania ila upo nyuma ya keyboard mpaka Sasa hivi
Kila mtu atakufa kwa wakati wake. Hadi ninapojitoa hivi kwa ajili ya nchi yangu jua tu nipo tayari kwa yote.
 
Uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa sheria na katiba yetu, kutaka kuuzuia ni kuvunja sheria za nchi na kosa la jinai., sasa sijui nani mwenye akili timamu anapendelea kuvunja sheria na kukaa gerezani, badala ya kuendesha biashara zake apate chochote kwa mahitaji ya Familia yake,
--NYIE WANASIASA HUMO NDIMO KAZINI KWENU, AMANI NA UTULIVU KWA BIASHARA ZETU UKIBOMOKA NYIE HAIWAHUSU--
Kwa wi,i wenu huu huu.
 
Uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa sheria na katiba yetu, kutaka kuuzuia ni kuvunja sheria za nchi na kosa la jinai., sasa sijui nani mwenye akili timamu anapendelea kuvunja sheria na kukaa gerezani, badala ya kuendesha biashara zake apate chochote kwa mahitaji ya Familia yake,
--NYIE WANASIASA HUMO NDIMO KAZINI KWENU, AMANI NA UTULIVU KWA BIASHARA ZETU UKIBOMOKA NYIE HAIWAHUSU--
Kwa wizi wenu huu huu.
 
Uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa sheria na katiba yetu, kutaka kuuzuia ni kuvunja sheria za nchi na kosa la jinai., sasa sijui nani mwenye akili timamu anapendelea kuvunja sheria na kukaa gerezani, badala ya kuendesha biashara zake apate chochote kwa mahitaji ya Familia yake,
--NYIE WANASIASA HUMO NDIMO KAZINI KWENU, AMANI NA UTULIVU KWA BIASHARA ZETU UKIBOMOKA NYIE HAIWAHUSU--
Kwa wizi wenu huu huu.
 
Uchaguzi upo palepale kwa mujibu wa sheria na katiba yetu, kutaka kuuzuia ni kuvunja sheria za nchi na kosa la jinai., sasa sijui nani mwenye akili timamu anapendelea kuvunja sheria na kukaa gerezani, badala ya kuendesha biashara zake apate chochote kwa mahitaji ya Familia yake,
--NYIE WANASIASA HUMO NDIMO KAZINI KWENU, AMANI NA UTULIVU KWA BIASHARA ZETU UKIBOMOKA NYIE HAIWAHUSU--
Swali katiba ya nchi nani ameisaini, swali la ziada kwanini wagombea huzunguka kuomba kura kwa wananchi
 
Watanzania shida yao sio kuitoa CCM madarakani. Shida yao ni nani atapewa serikali ambaye atakuwa serious na sio kuleta mfumo wa hovyo zaidi na kujutia hata kuitoa CCM madarakani.

Hili nalo ni vema tukalielewa vizuri.
 
Ewe Mtanzania, Puuza Wapuuzi wanaokudanganya kuwa Eti uchaguzi Mkuu mwaka huu hautakuwepo.

Uchaguzi Mkuu upo kwa Mapenzi ya Mungu, kama ambavyo kwa mujibu wa Katiba Huwa unafanyika Kila baada ya miaka 5.

Hakikisha umejiandikisha kupiga kura na unayo kadi Yako ya kupiga kura tayari kwa uchaguzi huu.

Puuza kampeni za wapotoshaji.
 
Tunawafahamu walio tayari kufa kwa ajili yetu. Mfano unaotembea ni Lissu tu ambaye ma CCM mlimpiga risasi zaidi ya 16 ila kwa mapenzi ya Mungu yupo hai hadi leo hii.
"""Tunawafahamu walio tayari kufa kwa ajili yetu"""
Unafurahia sana wajinga wakijifia kwa ajili yako! 😀😀
 
Hii nchi itakombolewa na watanzania wenyewe muda ukifika, muda bado ila ipo siku wa mwisho atakua wa kwanza. Hii nchi sio mali halali ya CCM ni mali yetu sote siku zinakuja wataishi kama digi digi.
 
Back
Top Bottom