Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Mwanaume hutakiwi kutumia emoji zozote kabisaaaa.Leo siongelei wanaume wa Dar tu, leo ni wote wenye vijitabia vya kutuma Emoji za kipuuzi mbaya zaidi wanatuma hadi kwa wanaume.
Wewe mwanaume rijali kamwe huwezi kuwa na akili ya kutumia hizi Emoji kamwe ;.
View attachment 529309
[emoji17] [emoji18] [emoji108] [emoji114] [emoji126] [emoji134] [emoji136] kama hiziMwanaume hutakiwi kutumia emoji zozote kabisaaaa, i use whatsapp kwaajili ya business only, i don't use for socially issues
Au "lol"Unamkuta mwanaume eti anasema "nyooo" acheni tabia hizo