Haipendezi kwa mwanaume kutumia 'emoji' hizi za WhatsApp

Kama hizi [emoji86] [emoji40] [emoji63] [emoji61] [emoji89] [emoji133] [emoji124]
 
Aliyeziweka ni mwanaume au mwanamke?? Kama ni mwanaume je Ni lijali ama sio lijali??
 
I see this jamaa is trying to drag all men into his zone then awachape na experience...good one...
 
Mtoa mada nae ni mshamba,,inamana unapoongea na mtu hufyonzagi wew??au hakuna mtu asiyefyonza humu??sas iweje tena kwa men iwe shifa kutumia ile imoji ya kufyonza??elimu yako ndogo wew sikushangai
 
Mwanaume hutakiwi kutumia emoji zozote kabisaaaa, i use whatsapp kwaajili ya business only, i don't use for socially issues
Inamana wew unaposema hutumii imoji ila unatumia wasap kwa busines,,,sas nkulize swali je hujui kama kuna facial expression moja wapo ni kama hizo kutumia imoji na wat mkaelewana vzuri tu,,,namashaka utakuwa na tatizo la utindio wa ubong wew[emoji28] [emoji28] [emoji28] aya apo nmekucheka kuna tatizo??
 
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…