Nilio tukanwa mimi umeona ni mapambio sio matusi lakini niliosema mimi ndo matusi. Haya basi naomba msamaha.matusi ya nini? mbona hujiamini?
acha bana kuchafua hali ya hewa humu ndani
Nime imagine kicheko chako nimejikuta na mm nimecheka hvyhvyHeheheyaaa
Halafu una roho mbaya hujawahi nitumia hako ka emoji na mimi ukanikumbusha kuoga. [emoji125] [emoji125]Ha ha ha ha umeona enhee emoji ile yangu nakuwa namkumbusha aende kuoga
Wacha weee [emoji2] [emoji2]
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Tehteh unapomqoute mtoto wa kike lazima uwe na smile kama hizi [emoji4] ikiwezekana unaenda mbali na vi kiss [emoji8][emoji8] sasa huyu mtoa mada anashindwa kuelewa kila emoj inapahala pake
Uwe unatumia na emoji nyingine sio hiyo pekee. [emoji124]Niache nn
Uwe unatumia na emoji nyingine sio hiyo pekee. [emoji124]
Halafu una roho mbaya hujawahi nitumia hako ka emoji na mimi ukanikumbusha kuoga. [emoji125] [emoji125]
Mim sio dada,,renga wew,,,mi ni rijali sibong namashoga kama wew unaejfanya kwenda na wakt kumbe hujui dunia imfka wapAsante dada, wewe endelea kutumia emoji tu. Usihofu nitarudi shule hivi karibuni maana naona povu mpaka unatia huruma.
Sio povu nakchan wew usiyejuabnin mana ya socially interaction af unajfanya msomi kumbe hewaDu, kweli aliekutia bila malipo alaaniwe kabisa. povu lote hilo ?
[emoji12] [emoji23] au [emoji57]Kama ip nyengne
[emoji12] [emoji23] au [emoji57]
Hahaaa.Ha ha ha ha wewe nipe chance tu ya kukumbusha kuoga utaiona
Mnakoelekea mtataka watu wawe mabubuAu "lol"
Kwan 'lol' manake nn?Au "lol"
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Vipi Mwifa jaman na wewe unatumia kwani hizo