HAIPINGIKI: Diamond & Wema kurudiana

Labda.....😏😏😏😏
 
Nikutumoe pm? Pombe Magufuli au?
 
Umeshaanza kunywa hadi unatumwa kuja kuandika humu.

Alimtukania mama yake kwa wivu wa Zari, ka wewe unaendekeza hayo basi kamchukue w.

Ila na nyota anariyosema alimpa D yeye kashasema kule harudi ng'oo.

Limbwata zimeishia njiani ndio imetoka hiyooooooo

Hakuna true love pale, D hakujitambua sasa anajijua kuwa alindumbukia kwenye pa wengi.
 
Watarudiana pale tu Wema atakapo shika ujauzito
 
Vijana wengi wa nchi hii wameaharibikiwa kijinsia mpaka akili, sasa uchunguzi gani wa kisayansi unaoongelea hapa?
 
Eenh eeenhh uganga huu, sio kuagua kweli huku?
 
Umeandika kwa uhakika ndoto za mchana.
 

Yani utabiri wako one day yes!! itahappen. kurudiana must manake hilo jimama la Ug hata hawaendani kabisaaaa yanii....Linamfaa kingunge
 
kwa kweli inbidi tufanye mfungo nchi nzima,ni suala muhimu sana hili
 
Ramli zimeanza tena teh teh, hivi wema hawezi pata mwanaume mwingine akamsahau mond? maana kila wakati bado yupo attached na mond, huyo mwanaume alie nae sasa sidhani kama anapenda haya
 
Duuuh! eti ni uchunguz huru na wenye uhakika 100%.

teh teh teh😀😀
 
afu tifa alelewe na nani? mama wa kambo sepetunga? weee atalishwa ugali mgumu mgumu dadeki
 
Yani utabiri wako one day yes!! itahappen. kurudiana must manake hilo jimama la Ug hata hawaendani kabisaaaa yanii....Linamfaa kingunge

Kwa hayo maneno uliyoandika tu endelea kulamba ndimu na kuzitafuna na kumeza.

Na hivyo hivyo ndipo D kafia kwa roho safi anakula mahaba mahaba jiwuwe weye

Mlisemaga hana ndoto sasa mnamtamani hamjui kuwa mnampaga mabalaaa

Wanaume wamejaa wengi mtafutieni huyo mwanamke mwenzenu

D kaeni nae mbali watukanaji wengi waliojaa na machirizui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…