Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Kwa hayo maneno uliyoandika tu endelea kulamba ndimu na kuzitafuna na kumeza.
Na hivyo hivyo ndipo D kafia kwa roho safi anakula mahaba mahaba jiwuwe weye
Mlisemaga hana ndoto sasa mnamtamani hamjui kuwa mnampaga mabalaaa
Wanaume wamejaa wengi mtafutieni huyo mwanamke mwenzenu
D kaeni nae mbali watukanaji wengi waliojaa na machirizui
Ni ukweli usiopingika chibu na hilo jimama tc deff