Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Halafu Wema naona kama anajipendekeza kwa D sasa..Sasa Wema kichwani amebakiza nati mbili dish kuyumba na kuanguka..
Yani kila siku kujisemesha mi na dia tulishaachana pyeee huyu dem huyu mxyuuuu
Inaelekea mond alikuwa anamkuna haswa!!!
Mnooooo naskiaga kwanza ana mkono wa mtoto
Hakuna asiyetaka hili litokee kwa maslahi mapana ya Taifa. Jipe muda mkuu utapata majibu hapahapa au kupitia vyombo vingine vya habari. Hii couple itarudi kwa kishindo kikubwa.Aya nimekuelewa sheikh yahya
Dada tuliza mzuka hii couple inarudi kwa kishindo. Ni huyo Zari anatakiwa aachie madaraka kwa amani au vinginevyo iundwe serikali ya mseto hapo Madale.Mnooooo naskiaga kwanza ana mkono wa mtoto
Hakuna asiyetaka hili litokee kwa maslahi mapana ya Taifa. Jipe muda mkuu utapata majibu hapahapa au kupitia vyombo vingine vya habari. Hii couple itarudi kwa kishindo kikubwa.
Dada tuliza mzuka hii couple inarudi kwa kishindo. Ni huyo Zari anatakiwa aachie madaraka kwa amani au vinginevyo iundwe serikali ya mseto hapo Madale.
Ni umaskini alionao ndio unaongea haya au?
Mwanamke matusi kumtukana hadi Mama D kisa sijui nyota, sijui nini kweli hata angekuwa mwanamke wa mwisho unaona angeishi madale?
Wewe unayependana nawe upo nae mumekumbatiana au nawe mchuma labda nduguye w au w mwenyewe.
Unaonyesha tamaa ya mali, ulimwacha eti nyota hivyo kaa hayo uko uko ulipo.
Eti Zari yupo wapi leo krismasi?
Tupo wachache sana wenye mikono ya watoto raha yake umpate mwanamke mwenye kisimi kirefu hamuachani hizo pea kukutana ni ngumuMnooooo naskiaga kwanza ana mkono wa mtoto