HAIPINGIKI: Diamond & Wema kurudiana

HAIPINGIKI: Diamond & Wema kurudiana

Diamond yuko zake Mbudya na Wa ubani wake Zari watu wanaota kurudiana na Wema. Kwani Luis Munana vp na kusilimishwa alisilimishwa
 
Kuwa na adabu mbwa wewe unapoongea na baba zako wa kambo, umeshindwa kumrudisha mama ako na baba ako wawe pamoja unajishaua kuingilia mambo ya diamond na wema, nenda kaolewe wewe basi mbwa mkubwa wewe, tena ukome nguruwe wewe kama hunijui uliza utapewa habare yangu mxieww
Kama ni baba wa kambo mbona unavyoandika kama mwanamke mmbea?
 
Kuwa na adabu mbwa wewe unapoongea na baba zako wa kambo, umeshindwa kumrudisha mama ako na baba ako wawe pamoja unajishaua kuingilia mambo ya diamond na wema, nenda kaolewe wewe basi mbwa mkubwa wewe, tena ukome nguruwe wewe kama hunijui uliza utapewa habare yangu mxieww
😀😀😀😀😀
 
Diamond yuko zake Mbudya na Wa ubani wake Zari watu wanaota kurudiana na Wema. Kwani Luis Munana vp na kusilimishwa alisilimishwa

Mnamibia alikimbia baada ya besidei kuona anayedai wake kaenda kupumzika na mshindibwetu wa big brother mchekeshaji wa kukopi pesti huko insta idi.

Hana mtu anashinda anatukana mtotonwa Dee ndio umbali aliofikia wiki hii kumtamani hadi anabwatuka na kwenda kuazima magari aonyrshee kuwa yake toka kwa wanaomlala.
 
Kuwa na adabu mbwa wewe unapoongea na baba zako wa kambo, umeshindwa kumrudisha mama ako na baba ako wawe pamoja unajishaua kuingilia mambo ya diamond na wema, nenda kaolewe wewe basi mbwa mkubwa wewe, tena ukome nguruwe wewe kama hunijui uliza utapewa habare yangu mxieww

Aaagh umeandika uwiiii mbavu zangu umemaliza.

Kalipwa huyo au ni yeye kaja kutafuta sapoti ya JF hajui kuna wanaojitambua humu.
 
Na hizi nimezikuta mtandaoni wanasema za siku mbiki tatu hizi eti zinaonyesha nini?

Screenshot_2015-12-27-23-23-21_1.jpg


zarithebosslady-1451240581100.jpg
 
Yao hao bado wanapendana sanaaaa.... ila kuna shetani mchawi alipita kato yao ndo ikatokea hivyo. 1 day yes!!!! watakuwa pamoja tena. km kuna mpenzi wangu nilimuacha but nashindwa kumsahau yaan ht nifanyeje bado tuu sijui alinipa ka libwata
 
Sili, makombo sisi ni simba tukishakula maini tunaachia fisi /tai /m, mwitu
 
Sili, makombo sisi ni simba tukishakula maini tunaachia fisi /tai /m, mwitu
Hii itakuwa mara ya pili huyu Simba kula makombo. Tatizo la mwanamke (Wema) ni kutaka kushindana na mwanaume (Diamond) ambapo isingewezekana kushinda. Hilo ndo kosa la kiufundi alilofanya Wema. Akichezea tena hii nafasi nyingine itakula kwake. Namshauri wakisharudiana akubali kuwa yeye ni mwanamke na hataweza kumshinda mwanaume kwahiyo utiifu wake ni nguzo. Kimsingi kwa muda huu anaotarajia kurudi madarakani ajifunze baadhi ya mambo toka kwa Zari.
 
Sijajua itakuwa lini ila hawa watu watarudiana na kuishi pamoja hadi uzeeni. Kwasababu mbalimbali za kisayansi ni kuwa hawa watu wanapendana sana (true love) na endapo wakafungiwa sehemu kwa dakika chache lazima wazisahau tofauti zilizotokea.

Upande wa mwanamke (Wema) ndo wenye mapenzi makubwa zaidi kuliko kwa diamond.

Tuwaombee hawa wenzetu wazimalize tofauti zao maana kwa sasa nafsi zao zitakuwa zinalilia kuunganishwa tena.

NB: Huu uchunguzi ni huru na wenye uhakika 100% kama unataka kujua kwanini kiundani nitumie PM


Sikia Martin Kadinda, hii promo kamfanyie dada yako kwani Wema bado hajatulia kila kukicha anavuliwa chupi na midume.
 
Back
Top Bottom