Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni baba wa kambo mbona unavyoandika kama mwanamke mmbea?Kuwa na adabu mbwa wewe unapoongea na baba zako wa kambo, umeshindwa kumrudisha mama ako na baba ako wawe pamoja unajishaua kuingilia mambo ya diamond na wema, nenda kaolewe wewe basi mbwa mkubwa wewe, tena ukome nguruwe wewe kama hunijui uliza utapewa habare yangu mxieww
Kama ni baba wa kambo mbona unavyoandika kama mwanamke mmbea?
😀😀😀😀😀Kuwa na adabu mbwa wewe unapoongea na baba zako wa kambo, umeshindwa kumrudisha mama ako na baba ako wawe pamoja unajishaua kuingilia mambo ya diamond na wema, nenda kaolewe wewe basi mbwa mkubwa wewe, tena ukome nguruwe wewe kama hunijui uliza utapewa habare yangu mxieww
Diamond yuko zake Mbudya na Wa ubani wake Zari watu wanaota kurudiana na Wema. Kwani Luis Munana vp na kusilimishwa alisilimishwa
Kuwa na adabu mbwa wewe unapoongea na baba zako wa kambo, umeshindwa kumrudisha mama ako na baba ako wawe pamoja unajishaua kuingilia mambo ya diamond na wema, nenda kaolewe wewe basi mbwa mkubwa wewe, tena ukome nguruwe wewe kama hunijui uliza utapewa habare yangu mxieww
Uwe unaweka akiba ya maneno.Hawawezi rudiana......ZARI habari nyingine
Hebu nisaidie makombo nimeshindwa kuya4get kabisa nifanyeje chipaka?Sili, makombo sisi ni simba tukishakula maini tunaachia fisi /tai /m, mwitu
Hii itakuwa mara ya pili huyu Simba kula makombo. Tatizo la mwanamke (Wema) ni kutaka kushindana na mwanaume (Diamond) ambapo isingewezekana kushinda. Hilo ndo kosa la kiufundi alilofanya Wema. Akichezea tena hii nafasi nyingine itakula kwake. Namshauri wakisharudiana akubali kuwa yeye ni mwanamke na hataweza kumshinda mwanaume kwahiyo utiifu wake ni nguzo. Kimsingi kwa muda huu anaotarajia kurudi madarakani ajifunze baadhi ya mambo toka kwa Zari.Sili, makombo sisi ni simba tukishakula maini tunaachia fisi /tai /m, mwitu
Sijajua itakuwa lini ila hawa watu watarudiana na kuishi pamoja hadi uzeeni. Kwasababu mbalimbali za kisayansi ni kuwa hawa watu wanapendana sana (true love) na endapo wakafungiwa sehemu kwa dakika chache lazima wazisahau tofauti zilizotokea.
Upande wa mwanamke (Wema) ndo wenye mapenzi makubwa zaidi kuliko kwa diamond.
Tuwaombee hawa wenzetu wazimalize tofauti zao maana kwa sasa nafsi zao zitakuwa zinalilia kuunganishwa tena.
NB: Huu uchunguzi ni huru na wenye uhakika 100% kama unataka kujua kwanini kiundani nitumie PM