reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
FA amesema atatibiwa tayari watacover bill serikaliLaki 7 [emoji15] sizani bhana yan washindwe laki 7 .. mbona jamaa uyo wa Mtei alie zaa nae kwao wako vizur tu sio watu wakukosa 700k ad ichangishwe na watanzania
Si ana korabo na Wazir msanii uyu kwe ata muheshimiwa kashindwa kumuwekea mdogo wake 700k