Haithamkim amefanyaje?

FA amesema atatibiwa tayari watacover bill serikali
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]km Kuna Watu badala ya kuwaonea donge tunatakiwa tuwaonee huruma ni wasanii na Watu maarufu Wana maisha ya hovyo mnoo àfu magumu
 
Sisi tukiwambia tuna shida wanatwambia" Tafuta hela"

Sasa misaada ya nini tena?
 
Ina maana Niiteboshen kakosa laki 7 ya kulipia? Au zile tattoo anachora bure?
Laki 7 kwa siku, kuna sindano anaichoma ndio inacost laki 7 na anachoma kila siku. Nimesoma hivyo sehemu
 
Hawana mbambamba? Kampuni nyingine za bima wanna roho nzuri kwenye kutafuta wateja,sio kuwahudumia. Na Wana tofauti gani na NHIF?
Tofauti ni price na coverage.....NHIF bundle zake zipo juu na unatibiwa kila hospital..Hii ya Strategy si kila hospital utatibiwa utapewa list ya hospital utazoenda....ila ndio bei rahisi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…