Haitoshi, Job Ndugai ajiuzulu na ubunge pia!

Kwa maoni ya namshauri mh Ndugai ajiuzulu ubunge apumzike siasa abaki mwanamtandao tu wa siasa za kimkakati
Sipati picha mh Ndugai anamuomba msadizi wake za zamani nafas ya kuuliza swali la nyongeza!

Mzee Ndugai yupo humu JF. Mzee ulipata ajali ya kisiasa jiuzulu ubakishe heshima kidogo iliyobaki. Kama ni mikopo ya CrdB utalipa tu kinua mgongo kipo
 
Kwani kuna mbunge au waziri hata raisi huwa anakaa linapoanza bunge? Au kichwa chako ni bure,
Hakuna anayekaa bungeni wakati spika anaingia na yeye mwenyewe husimama akifika ndani
 
Ila asikuambie NTU tutu pesa tamu.
 
Hana hiyo hekima.Ndiyo maana anatakiwa kulipwa asilimia 80 ya mshahara wa spika aliyepo hadi kifo.Hatakiwi kuwa na mishahara miwili,hivyo alitakiwa kulazimishwa kujiuzulu.
Huwa hawana aibu hawa wanaojilazimishia u ccm uchwa.
Jiulize utambulisho wa Mbunge wa Kongwa Spika Mstaafu aulize swali la nyongeza.CCM hata wakijiuzulu wanatambulishwa kama wastaafu.
 
Hivi mnaokazania jiuzulu.....jiuzulu, ili iweje?

Je mtamlishia na kuitunza familia yake?

Yeye kama Spika mstaafu na Mbunge mzoefu.
Bado mchango wake bungeni unahitajika kuliko akikaa nyumbani.

Bunge la sasa limejaa wabunge wageni wasiojua lolote.

Weengi wameingia kwa kimbunga cha JPM.
 
Angekuwa BABA YAKO ungeniambia AJIUZULU?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa Kuna kimbunga jobo?
 
Kwanza SEMA kama ni voicer mwimba mapambio wa wakati ule au tofauti ili tiendesawa🤔.
 
Agombee unaibu spika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…