Haiwezakani siye tusiwe na korona wakati Kenya wana visa zaidi ya 1600, jihadhari

Masi Lambo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
532
Reaction score
360
Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.

Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.

Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.

Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
 
Tz kwa uongo wamemrithi Mfalme wa mataga mzee mjinga mjinga
 
Haiwezekani sie? Kwani umeambiwa tunashindano nao hao!.Kwanini mnapenda kutolea mfano Kenya?.Wao ni wao sisi ni sisi!.Sisi kwetu ugonjwa umepungua huo ndo kweli ,tusitake kuji compare na wao kila nchi imetumia njia zake kupambana na huu ugonjwa .Mnapenda kusikia wamekufa watu kadhaa ili mfurahi!.
 
Hivi ni hamuelewi au mnachagua cha kuelewa. Kutotangaza idadi ya wagonjwa haimaanishi ugonjwa haupo,mbona kila siku mnaambiwa hilo hamuelewi chukueni tahadhali ugonjwa upo na watu wanakufa.Angalizo tusiingize siasa.
 
Kenya ni Kenya na Tanzania ni Tanzani.
Wote tumevamiwa na adui Corona. Wakenya wanapambana Kikenya na Watanzania wanapambana Kitanzania. Kila nchi na mbinu zake.

Hata kama ni majirani sio lazima tufanane mbinu za kivita.
 
Hivi wewe unawaamini kina Bashite na Stone? Jikinge wewe na familia yako korona ipo na inatafuna watu wewe ukitaka kujua kwamba ipo pitia page ya rais wa twita aka GOGOKI.
 
Hamia Kenya sasa ili ukawe na corona
 

Kujiriwadha[emoji777]
Kujiliwaza[emoji818]
Mkuu mbona kama unawaonea wivu Kenya kwa idadi hiyo ya wagonjwa walio nayo?

Kwani nani kasema imeisha? Kama unaona Kenya wanafaidi corona hamia huko nawe ukaburudike.
 
Kuna jirani hapa kafariki watu wamezusha ni corona toka majuzi hatujazika ngoja tuone kama ni kweli au lah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…