Haiwezakani siye tusiwe na korona wakati Kenya wana visa zaidi ya 1600, jihadhari

Haiwezakani siye tusiwe na korona wakati Kenya wana visa zaidi ya 1600, jihadhari

Corona ipo vichwani mwa watu tu!

Tangu watu waipuuze corona, hofu zote zimekwisha. Hakuna cha koronya wala corona!

Corona ni ugonjwa wa akili. Na kadiri unavyoupa nafasi kichwani ndivyo unavyozidi kuugua.

Dawa ya corona ni kuipuuza corona!
Kawaambie waliofiwa na walio mahospitalini, kisha waulize wa Brazil wanao pukutika baada ya kuamini hivyo. Anyway, walio na busara wanajilinda, ila kinachoudhi watu ka nyie mkiipata hamtajua na mtaitambaza. Korona haijaisha hata waziri wa Afya na rais kasema hivyo, ila hilo linapitia masikioni kwa wapuuzi wote.
 
Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.

Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.

Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.

Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
Dah....acha ujinga bana.... Wakenya wanasababu zao...[emoji2960]
World Bank Approves $1 Billion Financing for Kenya, to Address COVID-19 Financing Gap and Support Kenya’s Economy
 
Kenya hawali malimao ndio maana maambukizi kwao hayaishi
 
Wenzako wanafanya usanii ili wavute pesa kwa washenzi..washenzi wanajifanya wajaja na pua ndefu zao lakini hata wao wanaingizwa king tu. Kenya zaidi ya waongo hapa East Africa lakini uongo wao wanautumia kuwachuma mabeberu,wameendesha uongo mwingi juu ya drivers wetu ili kumfurahisha mkaburu awape pesa,Covid imegeuka dili..ni JPM pekee anayeenenda kwa hekima na uwezo mkubwa wa kufikiri
Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.

Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.

Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.

Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
 
Tumeshawahi jiukiza kwanini Old Town Mombasa wanaendelea na maisha yao Kama kawaida
 
Hivi ni hamuelewi au mnachagua cha kuelewa. Kutotangaza idadi ya wagonjwa haimaanishi ugonjwa haupo,mbona kila siku mnaambiwa hilo hamuelewi chukueni tahadhali ugonjwa upo na watu wanakufa.Angalizo tusiingize siasa.
Mbona we hujafa na mitaani hatuoni vifo wala ndugu,rafiki pia. Kufa wewe kwanza ndo tuamini kua ugonjwa upo na unawaweza wabongo
 
Tatzo watanzania mitandao imetuathiri sana. Nmejarbu kufanya tathmini sana kuhusu habari za huu ugonjwa kwa eneo ninaloishi na kwa watu naowajua. Kwa hali halisi ya nilipo kweli wapo waliougua kwa maana walkua chini ya uangalizi wote walipona na hamna hata mmoja aliyezidiwa kufikia steji mbaya. Nkifuatilia kwa ndugu na marafiki sijasikia hata mtu aliyekufa kwa korona. Kwa hiyo sample naamini hali sio mbaya km tunavyoaminishana
 
Kenya inaendelea kupima na kupambana na korona wakati siye tunajidanganya imekwisha.

Leo hii wamegundua visa 147, hii inaonyesha Korona bado ipo na inaongezeka badala ya kupungua.

Najua wanaopenda kusikia habari nzuri wakati wa majanga kujiriwadha, na kama wenye akili ya kutuliza wajinga kwa uongo wanavyotaka, watapinga hili vikali.

Wapya 147 wakutwa na corona Kenya akiwemo mtoto wa mwaka mmoja.
Kama wewe, familia yako, jirani, mtaani kwako, ndugu na rafiki zako hamjambukizwa, wewe ndiye unajidanganya kwa kutamani watu wengine waambukizwe na kufa.

Nakuombea uambukizwe ili utangazwe kama Kenya wanavyotangazwa.

USIFUATE USHAURI WA KUJIKINGA ILI UAMBUKIZWE, LA

JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALIINDE UWAPENDAO
 
Mnajifanya kumjua mungu. Iyo anayewadanganya Mbona uchaguzi hamuachii mungu?


Covid -19 haina dawa wala chanjo lakini uchaguzi dawa yake ni bao la mkono tu, bao alilotufundisha Nap---.
 
Back
Top Bottom