Hajawahi kutokea mwenyekiti wa chama cha siasa mwenye nguvu kushinda Mbowe nchi hii

Hajawahi kutokea mwenyekiti wa chama cha siasa mwenye nguvu kushinda Mbowe nchi hii

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Mbowe aliwahi kuwaleta CHADEMA wakina Lowasa, Sumaye, Membe, na hawa wote walikuja chadema wakijua kabisa watamuita mbowe bosi 😂😂.

Mbowe oyeee ,(Magufuli).

Pamoja na yote mazuri ya Mbowe ila mbowe muda umefika aachie chama kwa Lissu.
 
Mbowe amefanya KAZI ya state Kwa muda mrefu lakini safari hii amekiuka malengo ya dola Kwa ku favor wasiotakiwa kushika Dola Tena ndani ya CCM!
 
Sijakuelewa Mkuu.... Tafadhali...🤔🤔
Kama mbowe akishinda uenyekiti atakua adui mkuu wa wenye dola yao!sitoshangaa kama akifuata nyayo za waliotangulia mbele za haki mapema kabla ya muda!

Why!!?

Kwasababu Kila mwenye ushawishi Alie upande was mama ni adui wa dola na atapukutishwa kama ulivyoona inavyoanza kutokea na itashika Kasi soon!!

Dola inataka wazalendo wanaoimba katiba mpya na sio conservatives was katiba iliyopo hao watakaushwa kimya kimya!!

Ndivyo ninavyoelewa na naamini uelewa wangu ni sahihi!!
 
Kama mbowe akishinda uenyekiti atakua adui mkuu wa wenye dola yao!sitoshangaa kama akifuata nyayo za waliotangulia mbele za haki mapema kabla ya muda!

Why!!?

Kwasababu Kila mwenye ushawishi Alie upande was mama ni adui wa dola na atapukutishwa kama ulivyoona inavyoanza kutokea na itashika Kasi soon!!

Dola inataka wazalendo wanaoimba katiba mpya na sio conservatives was katiba iliyopo hao watakaushwa kimya kimya!!

Ndivyo ninavyoelewa na naamini uelewa wangu ni sahihi!!
Aisee... Umenitafakarisha Sana Mkuu
 
Kama mbowe akishinda uenyekiti atakua adui mkuu wa wenye dola yao!sitoshangaa kama akifuata nyayo za waliotangulia mbele za haki mapema kabla ya muda!

Why!!?

Kwasababu Kila mwenye ushawishi Alie upande was mama ni adui wa dola na atapukutishwa kama ulivyoona inavyoanza kutokea na itashika Kasi soon!!

Dola inataka wazalendo wanaoimba katiba mpya na sio conservatives was katiba iliyopo hao watakaushwa kimya kimya!!

Ndivyo ninavyoelewa na naamini uelewa wangu ni sahihi!!
Nimekusoma sasa
 
Mbowe aliwahi kuwaleta CHADEMA wakina Lowasa, Sumaye, Membe, na hawa wote walikuja chadema wakijua kabisa watamuita mbowe bosi 😂😂.

Mbowe oyeee ,(Magufuli).

Pamoja na yote mazuri ya Mbowe ila mbowe muda umefika aachie chama kwa Lissu.
Chadema bila watu makini(giants)kama ilivyokuwa hapo nyuma ni kama chauma tu!
 
Back
Top Bottom