Hajawahi tokea Mwanasiasa nchini Tanzania kama Tundu Lissu! Mungu ana kusudi nae aendelee kumlinda

Hajawahi tokea Mwanasiasa nchini Tanzania kama Tundu Lissu! Mungu ana kusudi nae aendelee kumlinda

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Naiona Tanzania ya kipekee sana baada ya Tundu Antipass Lissu kushinda uenyekiti Chadema.

Tundu Antipass Lissu aliyesoma shule ya vipaji maalum ya Ilboru na akasoma Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na baadae nchini Uingereza amethibitisha kuwa yeye ni zawadi ya kipekee kwa Watanzania kutoka kwa Mungu.

Ni mtu aliyenyooka sana, ambaye kamwe hawezi pindisha ukweli. Ni mtu anayeamini kwenye haki kweli. Ni mtu anayeweza kuutetea ukweli kwa nguvu zote na kwa gharama yeyote ile. Ushahidi ni hili ni namna alivyopata ulemavu wa maisha kutokana na kuutetea ukweli na haki.

Furaha yangu kuhusu Lissu kuwa Mwenyekiti wa Chadema katika kipindi ni kwa sababu najua Lissu ataenda kuongoza vuguvugu la Katiba Mpya nchini Tanzania. Katiba ambayo itaweka mustakabali mpya wa nchi kwa miaka mingi ijayo.

Nikimuangalia Lissu kila siku nasema neno moja tu " Mungu ni Mkuu ". Ingawa sina uhakika kama atakuja kuwa Rais wa Tanzania ila kwa hakika ninajua Lissu ni messenger wa Mungu kwa Tanzania na Mungu anaenda kumtumia kuipa Tanzania zawadi kubwa sana ambayo ni Katiba Bora yenye misingi na inayojenga mifumo imara.
 
Huyu aliyesema mlinzi wa Magufuli amefariki au yule tutashitakiwa miga
Ulivyo mjinga huwezi kuelewa unyeti na umuhimu wa Lissu kwa Tanzania.

Endelea kuongozwa na uzwazwa wako uliotokana na elimu mbovu inayotolewa kwa Watanzania kutokana na kufeli wa Serikali zake zilizo chini ya Chama cha Mapinduzi
 
Alikufa kwa risasi 16 za Paul Makonda na genge lake la ujambazi....

Kisha Mungu Yehova kwa sababu amemfanya Mussa wa Tanganyika, kwa kuonesha na kudhihirisha ukuu wake akamfufua kutoka kwa wafu...

Haina shaka kuwa huyu ndiye Rais wa Tanzania ajaye...

Wenye mioyo migumu kama jiwe, hawataamini kuwa huu ndio mpango wa Mungu lakini mwisho wa siku wataona kwa macho yao...!
 
Alikufa kwa risasi 16 za Paul Makonda na genge lake la ujambazi....

Kisha Mungu Yehova kwa sababu amemfanya Mussa wa Tanganyika, kwa kuonesha na kudhihirisha ukuu wake akamfufua kutoka kwa wafu...

Haina shaka kuwa huyu ndiye Rais wa Tanzania ajaye...

Wenye mioyo migumu kama jiwe, hawataamini kuwa huu ndio mpango wa Mungu lakini mwisho wa siku wataona kwa macho yao...!
Huyu mtu ni ishara inayoishi ya ukuu wa Mungu kwa Watanzania.

Naamini atafikia mahala pa juu. Tuendelee kumuamini Mungu.
 
Namuona Lissu kama mtu aliyeonja kuzimu na kurudi tena duniani, siwezi kumfananisha na yeyote. Risasi 16 sio mchezo, big up Lissu, may the Lord bless you.
 
CCM utilizes the unholy trinity of MONEY, SEX and DEATH against the opposition. As of now, Lissu's reputation is beyond that of Caesar's wife.

#ThisIsDivineIntervention​
 
CCM utilizes the unholy trinity of MONEY, SEX and DEATH in order to control any opposition. As of now, Lissu's reputation is beyond that of Caesar's wife.

#ThisIsDivineIntervention​
Wamejaribu vyote na wameshindwa.

Lissu ni mpango wa Mungu
 
Mabadiliko ya kweli yataletwa na watanganyika wote sio kutegemea mtu mmoja
Watanzania wengi hamjui kipi ni bora Kwa nchi yenu, hii huenda inatokana na uduni wa elimu ama umaskini ( njaa). Watanganyika wa aina yako hawana uwezo wa kuleta mabadiliko, lazima pawepo na waonyesha njia wenye upeo na maono makubwa
 
Watanzania wengi hamjui kipi ni bora Kwa nchi yenu, hii huenda inatokana na uduni wa elimu ama umaskini ( njaa). Watanganyika wa aina yako hawana uwezo wa kuleta mabadiliko, lazima pawepo na waonyesha njia wenye upeo na maono makubwa
Achana nae inzi wa kijani huyu
 
Back
Top Bottom