Haji Alisema, Yanga wenye akili ni wawili tu, Andika neno " hatumtaki Haji" ili uongozi ujue mashabiki hatuna habari nae

Haji Alisema, Yanga wenye akili ni wawili tu, Andika neno " hatumtaki Haji" ili uongozi ujue mashabiki hatuna habari nae

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Hapa ni uwazi na ukweli.

Andika maneno hayo kuungana na mashabiki wenye akili timamu ambao hatutaki utoto kwenye mpira.

Aliwahi kusema wenye akili yanga ni wawili tu tena akimaanisha, hivo alituona wajinga.

Aliwahi kusema toka akiwa mdogo/ mtoto akiona yanga imeshinda alikua anajificha gizani na mawe na kuwarushia mawe wanayanga, huyu mtu ana chuki ya asili na wana yanga.

Hatumtaki haji ndio iwe kauli mbiu yetu hadi viongozi wajue 100% haji mashabiki wa yanga hatumtaki, yeye aendelee na mitikasi mingine tu kama kawaida yake.
 
Hapa ni uwazi na ukweli.
Andika maneno hayo kuungana na mashabiki wenye akili timamu ambao hatutaki utoto kwenye mpira,
Aliwahi kusema wenye akili yanga ni wawili tu tena akimaanisha, hivo alituona wajinga,
Aliwahi kusema toka akiwa mdogo/ mtoto akiona yanga imeshinda alikua anajificha gizani na mawe na kuwarushia mawe wanayanga, huyu mtu ana chuki ya asili na wana yanga,
Hatumtaki haji ndio iwe kauli mbiu yetu hadi viongozi wajue 100% haji mashabiki wa yanga hatumtaki, yeye aendelee na mitikasi mingine tu kama kawaida yake,
Ally Kamwe ameshasaini mkataba wa miaka 2, msemaji wa Yanga ni Ally Kamwe siyo huyo kichaa.
 
Having awepo Yanga au asiwepo Yanga shida nini mambo ya Simba na Yanga ukiwa nayo serious sana yatakupoteza wao midomo yao ndio ajira zao na wanapata lishe vizuri harafu huku mitandaoni utushindishe kuandika hatumtaki Haji wakati ile ni sehemu yake ya maisha na wao wanajua hata mteme moto wao watampa nafasi na maisha yataendelea tu...
 
Having awepo Yanga au asiwepo Yanga shida nini mambo ya Simba na Yanga ukiwa nayo serious sana yatakupoteza wao midomo yao ndio ajira zao na wanapata lishe vizuri harafu huku mitandaoni utushindishe kuandika hatumtaki Haji wakati ile ni sehemu yake ya maisha na wao wanajua hata mteme moto wao watampa nafasi na maisha yataendelea tu...
Mbona ccm walimtimuwa?
 
Having awepo Yanga au asiwepo Yanga shida nini mambo ya Simba na Yanga ukiwa nayo serious sana yatakupoteza wao midomo yao ndio ajira zao na wanapata lishe vizuri harafu huku mitandaoni utushindishe kuandika hatumtaki Haji wakati ile ni sehemu yake ya maisha na wao wanajua hata mteme moto wao watampa nafasi na maisha yataendelea tu...
Simba na yanga mashabiki hatumtaki, hapa ijulikane mtu kama haji ni hatari karia hakua mjinga kumfunga breki
 
Hii ni aina nyingine mpya ya Roho mbaya. Tufanye kazi kwa bidii tuache kufuatilia maisha ya watu na kufikiria kuharibiana riziki
 
Having awepo Yanga au asiwepo Yanga shida nini mambo ya Simba na Yanga ukiwa nayo serious sana yatakupoteza wao midomo yao ndio ajira zao na wanapata lishe vizuri harafu huku mitandaoni utushindishe kuandika hatumtaki Haji wakati ile ni sehemu yake ya maisha na wao wanajua hata mteme moto wao watampa nafasi na maisha yataendelea tu...
Wewe ishi tu Kama maiti.

Kuna watu wanalipia hiyo furaha na burudani shilingi elfu 29 kwa mwaka, wananunua tiketi na kwenda uwanjani.

Wasingekuwa wanagharamia hiyo timu hata huyo Mzungu pori asingekomalia kipewa ajira Yanga
 
Wewe ishi tu Kama maiti.

Kuna watu wanalipia hiyo furaha na burudani shilingi elfu 29 kwa mwaka, wananunua tiketi na kwenda uwanjani.

Wasingekuwa wanagharamia hiyo timu hata huyo Mzungu pori asingekomalia kipewa ajira Yanga
Daah mpira umeujulia ukubwani nini maana watu wa mpira hatuna matusi Wachezaji wa Simba walikua mtaa mmoja hapo Temeke Wailes wa kumwaga enzi za udogo wetu ndio walikua Lift kuingia Taifa na wanajua huyu ni Yanga sema ninyi mliojulia mpira uzeeni ni matusi mtindo mmoja na dharau juu ukiulizwa viwanja vikubwa ulivyoenda ni Mkapa tu wakati wenzio makombe ya Dunia tu tumeangalia mawili na El Classico za kutosha..
 
Daah mpira umeujulia ukubwani nini maana watu wa mpira hatuna matusi Wachezaji wa Simba walikua mtaa mmoja hapo Temeke Wailes wa kumwaga enzi za udogo wetu ndio walikua Lift kuingia Taifa na wanajua huyu ni Yanga sema ninyi mliojulia mpira uzeeni ni matusi mtindo mmoja na dharau juu ukiulizwa viwanja vikubwa ulivyoenda ni Mkapa tu wakati wenzio makombe ya Dunia tu tumeangalia mawili na El Classico za kutosha..
Basi wewe kiazi ndio umegundua mpira,furahi Sasa

Engineer Hersi anapambana kukuza nembo ya Club dunia nzima, ninyi vizi kazi hamtaki mmebaki kubweka tu manijua Simba, mnaijua Yanga akili zenu ni fupiii mnaona mwisho mwisho Manzese huku mkiomba omba mtupiwe chochote cha bure kutoka kwenye timu.
 
Basi wewe kiazi ndio umegundua mpira,furahi Sasa

Engineer Hersi anapambana kukuza nembo ya Club dunia nzima, ninyi vizi kazi hamtaki mmebaki kubweka tu manijua Simba, mnaijua Yanga akili zenu ni fupiii mnaona mwisho mwisho Manzese huku mkiomba omba mtupiwe chochote cha bure kutoka kwenye timu.
Mkuu una stress kinyama unatafuta sehemu ya kutoa mimi hizi mambo sipo bhana tafuta Pimbi mwingine utukananae na hii ni malezi mabovu ndio mnakua hivi unaamua kutukana tu hovyo hovyo na kulelewa na mzazi mmoja..
 
Mkuu una stress kinyama unatafuta sehemu ya kutoa mimi hizi mambo sipo bhana tafuta Pimbi mwingine utukananae na hii ni malezi mabovu ndio mnakua hivi unaamua kutukana tu hovyo hovyo na kulelewa na mzazi mmoja..
Kweli wewe unatoka isanga family, mna tabia ya kulelewa naalaya wa kwenye vigogoro. Kufirana kwenye vikorido ndio tabia zenu. Akili Kama mende
 
Kweli wewe unatoka isanga family, mna tabia ya kulelewa naalaya wa kwenye vigogoro. Kufirana kwenye vikorido ndio tabia zenu. Akili Kama mende
Mkuu mimi na wewe ni mbali mbali kabisaa yaani ni ardhi na mbingu nishakutema hizo mambo ni za watoto wadogo nadhani upo na umri wa kukua maana hakuna mtu mzima anaweza kuandika haya mambo sema utoto unakusumbua ukikua utaacha...yaani ukikulia kijijini unadhani kutukana ndio ujanja...punguza stress hizo hakuna jipya kwenye matusi mazee kwa sisi watu wa Mjini..
 
Mkuu mimi na wewe ni mbali mbali kabisaa yaani ni ardhi na mbingu nishakutema hizo mambo ni za watoto wadogo nadhani upo na umri wa kukua maana hakuna mtu mzima anaweza kuandika haya mambo sema utoto unakusumbua ukikua utaacha...yaani ukikulia kijijini unadhani kutukana ndio ujanja...punguza stress hizo hakuna jipya kwenye matusi mazee kwa sisi watu wa Mjini..
Vizee mchoko Kama nyie, mkitoka kwenye kubeba viroba vya unga kwa Bakhersa mnajiita wa mjini. Stupid
 
Back
Top Bottom