Haji Bin Manara. Ni nini Kinamsibu?

Haji Bin Manara. Ni nini Kinamsibu?

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Moja Kati Ya Interviews za ajabu ambazo amewahi kufanya ni hii ambapo amefikia hatua Kusema kuwa Yeye Hawezi tena Kuizungumzia Taifa Stars...!

Taifa Stars...! Nini tena atazungumzia?

Akaisemee Kenya? Uganda? UK? au USA..?

Wapo Watu Wanatafuta nafasi Waizungumzie Nchi yao Kupitia Stars, bado Hawajaipata.

Kwamba yeye Sio Mtanzania tena hajali Tanzania yupo Kundi gani, kapangwa na nani makundi AFCON haimuhusu.

Kwanini haya maneno Yanamtoka Kipindi hichi?

Najaribu kumtafakari.

Yawezekana kuna kitu anakiona kwa Sasa. Bila Shaka baada ya Kupumzishwa kwa Kufungiwa alikuwa na Mategemeo kuwa Vitengo vya habari vya Vilabu alivyovihudumu Vitapwaya. Na atakumbukwa sana na Watu
Kum miss, lakini haijawa hivyo. Maisha yameendelea, Na Soka La Bongo ndo Kwanza Linazidi Kupanda.

Mazingira ya Sasa yamebadilika Kabisa..! Vijana waliopewa mikoba Yake , Sio tu Viatu VimewaTOSHA bali Wamepitiliza Matarajio Kwa Kuwa Wabunifu Zaidi yake.

Hamasa Kipindi chake Zilikuwa Zinaishia Kutoa Slogans na kufanya Media tours Kwenye Vituo Viwili vitatu vya Media.

Hawa madogo wa Vitengo vya habari vya Simba na Yanga Media tours Wanazifanya, Lakini Wanaingia Mitaani na Vispika, Kubrand Wachezaji, Beach soka baina ya Matawi, kampeni za Kibegi...nk. zote hizo Zimeeeenda mbaya..!

Halafu Manara Akizingatia Umri Unamtupa Mkono, Wakati madogo ndo Kwanza Wanaanza Carrier zao...! Usipagawe We nani?

Huyu Mzee kaona anasahaulika, Kwanini asipaniki?

Wadau wanajiuliza Haji Bin Manara ni nini Kimemsibu?
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg


Kila niliangalia Hii picha Huwa namtafakari sana Haji
 
Hizi tabia anazoonyesha zinaitwa 'Kususa susa' au 'Kuzira'....

Ukiwa na mtoto mmojawapo kati ya Watoto wako ana Tabia hizi hakikisha unampatia bakora za Kutosha...Aache kabisa hizi tabia...!
La sivyo anakuwa nazo Ukubwani Kama huyu Mzee Manara...!
 
Hizi tabia anazoonyesha zinaitwa 'Kususa susa' au 'Kuzira'....

Ukiwa na mtoto mmojawapo kati ya Watoto wako ana Tabia hizi hakikisha unampatia bakora za Kutosha...Aache kabisa hizi tabia...!
La sivyo anakuwa nazo Ukubwani Kama huyu Mzee Manara...!
Halafu cha ajabu yeye ndio alikua anamsema Mo kua ndio anapenda kuzila zila.
 
yeye ndio yupo sawa kwa kilakitu hakosei.

anapenda kudeka kwasababu mlemavu wa hgozi.

kila sehemu atakayokuwepo ni lazima ataleta tafrani kwasababu ni mbinafsi ana ghubu sana.

kuanzia kwenye ndoa zake,Madrasa,CCM,Simba na Yanga huko kote keshaleta tafrani huyu ana mdomo mrefu hawezi kukaa na watu.
 
Moja Kati Ya Interviews za ajabu ambazo amewahi kufanya ni hii ambapo amefikia hatua Kusema kuwa Yeye Hawezi tena Kuizungumzia Taifa Stars...!

Taifa Stars...! Nini tena atazungumzia?

Akaisemee Kenya? Uganda? UK? au USA..?

Wapo Watu Wanatafuta nafasi Waizungumzie Nchi yao Kupitia Stars, bado Hawajaipata.

Kwamba yeye Sio Mtanzania tena hajali Tanzania yupo Kundi gani, kapangwa na nani makundi AFCON haimuhusu.

Kwanini haya maneno Yanamtoka Kipindi hichi?

Najaribu kumtafakari.

Yawezekana kuna kitu anakiona kwa Sasa. Bila Shaka baada ya Kupumzishwa kwa Kufungiwa alikuwa na Mategemeo kuwa Vitengo vya habari vya Vilabu alivyovihudumu Vitapwaya. Na atakumbukwa sana na Watu
Kum miss, lakini haijawa hivyo. Maisha yameendelea, Na Soka La Bongo ndo Kwanza Linazidi Kupanda.

Mazingira ya Sasa yamebadilika Kabisa..! Vijana waliopewa mikoba Yake , Sio tu Viatu VimewaTOSHA bali Wamepitiliza Matarajio Kwa Kuwa Wabunifu Zaidi yake.

Hamasa Kipindi chake Zilikuwa Zinaishia Kutoa Slogans na kufanya Media tours Kwenye Vituo Viwili vitatu vya Media.

Hawa madogo wa Vitengo vya habari vya Simba na Yanga Media tours Wanazifanya, Lakini Wanaingia Mitaani na Vispika, Kubrand Wachezaji, Beach soka baina ya Matawi, kampeni za Kibegi...nk. zote hizo Zimeeeenda mbaya..!

Halafu Manara Akizingatia Umri Unamtupa Mkono, Wakati madogo ndo Kwanza Wanaanza Carrier zao...! Usipagawe We nani?

Huyu Mzee kaona anasahaulika, Kwanini asipaniki?

Wadau wanajiuliza Haji Bin Manara ni nini Kimemsibu?
Haji ni Albino na albino wengi hamnazo na wana akili mlipuko kama wanawake
 
Muoneeni huruma sasa...huyu mtu anakufa taratibu ndani kwa ndani

Mpira umemtupa mkono...wake zake nao wote wamemkimbia...vi dili dili vilivyokuwa vinampa hela mjini navyo vinapepea

Msimseme, muacheni sasa
 
Haji ataendelea kuwepo sana kwenye mpira kwakua anaupenda na unampa rizki.
Huu upepo utapita na ata huu uongozi utaondoka na yeye ataendelea na kazi zake.

Nakumbuka ata uyu Dr Ndumbalo alisha wahi kufungiwa maisha kujihusisha na soka ila leo ni waziri wa tasnia iyo.
Ninachofahamu kama binadamu uwa wanakua na matamanio yao labda wakupoteze katika jambo fulani ila wanasahau kua wao ni binadamu na muda wao ukishapita wanakosa nguvu za ki mamlaka.

Haji awe na subira ao jamaa hawana muda wataondoka na maisha yake katika soka yatarejea.
 
Back
Top Bottom