Haji Manara aanza kutupa vijembe kwa Mo Dewji

Haji Manara aanza kutupa vijembe kwa Mo Dewji

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
hajismanara Wakulungwa wa kibongo waliopo South huuita lile Jiji kama Debeni,,,
Yes ni Durban !!!

Familia ya kitajiri isiyo na makeke ya Bakhresa inamiliki kiwanda kikubwa cha Unga chenye uwezo wa kuzalisha Tani 750 Kwa siku!!

Tuelewena kwanza,,,hiki kiwanda kipo Debeni na Tani 750 zinazalishwa hapo ktk kila Saa 24 Dadadeki!!

Sasa kipi kikushangaze Shilingi Bilioni 223 zikiwekwa ktk football ya nchi hii tena bila ya mbwembwe wala mmoja wa Memba wa familia hyo kuwepo?

223 Bilioni ukizipanga noti za Ten Ten zinatoka Dar hadi Brazil na kurudi hadi Pakistan kisha zinaenda hadi Cape Verde na kutokomea hadi Kilwa,,

Hapo sijaongelea mkwanja waliolamba Dar Young Africans?🤪🤪
@officialbakhresagroup 💪🏿💪🏿
 
hajismanara Wakulungwa wa kibongo waliopo South huuita lile Jiji kama Debeni,,,
Yes ni Durban !!!

Familia ya kitajiri isiyo na makeke ya Bakhresa inamiliki kiwanda kikubwa cha Unga chenye uwezo wa kuzalisha Tani 750 Kwa siku!!

Tuelewena kwanza,,,hiki kiwanda kipo Debeni na Tani 750 zinazalishwa hapo ktk kila Saa 24 Dadadeki!!

Sasa kipi kikushangaze Shilingi Bilioni 223 zikiwekwa ktk football ya nchi hii tena bila ya mbwembwe wala mmoja wa Memba wa familia hyo kuwepo?

223 Bilioni ukizipanga noti za Ten Ten zinatoka Dar hadi Brazil na kurudi hadi Pakistan kisha zinaenda hadi Cape Verde na kutokomea hadi Kilwa,,

Hapo sijaongelea mkwanja waliolamba Dar Young Africans?[emoji2957][emoji2957]
@officialbakhresagroup [emoji1548][emoji1548]
Ujinga kutambia vya mwanaume mwenzako

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hii movie ndio imeisha hivyo. Hivyo vijembe havina maana sana kama hapo mwanzoni, au siku ile ya press.

Hata huyo anayempiga vijembe hawezi tena kumjibu maana naamini watu wake wa karibu wameshamuweka sawa kuhusu majibizano ya mitandaoni. Maana yake ni kuwa watu walio upande wa haji wataona maneno yake hayana maana tena.
 
Haji anajiharibia,this is too much,hata waliokua wanamsapoti wataanza kumdharau,

Angepiga kimya tu na kuacha vijembe ambavyo haviwezi kumsaidia lolote kwa sasa.
Lakini nyienyie ndio mlikuwa mnampa kichwa wakati anawananga Yanga mkamahangilia kweli, mkatubeza Yanga hatuna msemaji, maneno kibao ya shobo, Leo kamgusa mfadhili wenu mshamgeuka, unafiki ni mbaya sana
 
Mdosi atajuta kumfahamu Haji wa Manara.
Sana, hizi ni rasharasha tu bado mvua yenyewe.
Kaingia anga za msanii wa mitaa ya Lumumba, tantarira za town ndiyo kazi inayompatia ugali wa nyumbani since back in the days.
Atajuta.
 
Kayataka mwenyewe ya kuanzisha vichokochoko na Born town. Amuite wayamalize before it’s too late.
Sana, hizi ni rasharasha tu bado mvua yenyewe.
Kaingia anga za msanii wa mitaa ya Lumumba, tantarira za town ndiyo kazi inayompatia ugali wa nyumbani since back in the days.
Atajuta.
 
Haji anajiharibia,this is too much,hata waliokua wanamsapoti wataanza kumdharau,

Angepiga kimya tu na kuacha vijembe ambavyo haviwezi kumsaidia lolote kwa sasa.
Attacking is the defense strategy in case you don't know.
 
Back
Top Bottom