Haji Manara: Ahmed Ally ni shabiki kindakindaki wa Yanga

Manara yeye alichozoea ni kufitinisha watu anapenda kuongelea maisha ya watu ila yeye akizungumziwa ana bweka na kuona anaonewa wivu wakati yeye ndo bingwa wa wivu na hasad
 
Huo ni ukweli kabisa kuwa Ahmed ally ni mwananchi mwenzetu kwasababu ni yanga lialia ila hata huyu manara ni simba lialia pia ,asitudanganye sisi wananchi
 
Hii ni photo shop ya wazi kabisa. Manara leta uwongo mwingine. Hii tumeikataa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Picha imekaa kama kweli kabisa aisee hasa ratio ya semaji na kombe viko sawa sawia!

Ila tukumbuke teknolojia imekua upo uwezekano kuwa hii picha ni photoshop tu wameweka picha na Kombe kumchafua semaji la mbumbumbu fc, ila pia nimeona kama dizaini lile ni kombe la Mamelodi (Green and Yellow) au pia laweza kuwa labda Kombe ni la CCM (Green and Yellow) wakishinda ligi ya Silent Ocean Ramadan cup miaka ya tisini!!

Ila japo picha ni ya kutengeza pale inamuonesha Ahmed kakaa na kombe la Yanga, ila kuna nguvu zaidi ya ukweli kuliko uongo na my conspiracy theories!!

Huu ni mkuki mchungu mno kwa Ahmed Ally Bin Mwananchi!!

Noma sana kuharibiana ugali mjini
 
Huyo Haji mwenyewe ni Simba yupo Yanga kupiga hela ya Ghalib tu. Akilewa huwa anaropoka .
 
Anaruhusiwa kuwa msemaji wa simba maana Mpira ni ajira lakini deep down alicheka kimoyo moyo baada ya zile 5 na ndiyo maana hakuchulia serious baadae ya kufungwa Bali mizaha yake iliendelea .
 
Wakulaumiwa ni viongozi wa Simba , wanawezaje kuwaajili kina Manara bila kujua chimbuko lao.
 
Kama manara, leo hii ameamini na kila anachoongea na Club aliyokua anaidhalilisha kadili inavyomtuma, kuwatukana anavyoweza nini Ahemed Ally ambae hajawahi kuvunjia heshima, bali kuipigania.
.
.Huyo anaedai yeye hata kabla, kwenda UTO, AKA MAMBWA ama MANYANI FC nafsi yake ilikua Uto pia aliisaidia zaidi Simba, na kuidhalilisha zaidi manyani wenzie.
MAneno yake sasa hayaumizi maana yanabaki yanabaki kuwa maneno ya nongwa, baada ya kupigwa.
.Na laana ikamuandama Ally Kamwe kachukua nafasi.
 
Wakulaumiwa ni viongozi wa Simba , wanawezaje kuwaajili kina Manara bila kujua chimbuko lao.
Mkuu haya mambo yapo tu mimi ni shabiki wa yanga ila mbona sisi tupo na canavaro wakati kiasili ni shabiki wa simba? Mbona yanga tunae haji manara wakati kila mtu anamjua ni simba damu? Na vipi mkude mbona kaitumikia simba kwa moyo wote hata kama ni yanga damu?namjua vizuri sana ahmed ally huyo ni yanga ila siamini kama anauwezo wa kuhujumu anapopatia ugali wake...manara ni mpuuzi mno mbona hamshangai bosi wetu GSM kuvaa jezi ya yanga wakati ni simba kindakindaki?
 
Sa Huyu si alisema alifanya kazi Simba Kwa kujitolea hakuna akipata chochote,

Sa alikua anajitaftaje mnafiki huyu.

Sijawahi kua shabiki wa maneno maneno hata alipokua timu yangu Simba alikua ananikera vile vile.
 
Manara ni yanga Ila alikuja Simba kwa ajili ya kutafuta maisha, Mimi simlaumu Ahmed Ally Kama ni yanga Ila nawalaumu viongozi wa Simba Kama itakuwa kweli kwanini hawakufanya uchunguzi wa kutosha kabla ya kumsajili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…