adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,732
- 4,901
Naona watu wanasahau kuwa Ahmed ni mwandishi. Na hii picha kwa haraka ni kipindi anajitafuta miaka hiyo. Hata hilo kombe ni la muda mrefu. Ukiwa mwandishi either unatumwa kuleta habari au unaenda kutafuta habari si jambo geni kupiga picha kama hizo.
Ukiona picha enzi zile za kina Isaac Gamba, Kitenge, Kibonde, Michuzi, Abou Liongo wanajitafuta utacheka
Ukiona picha enzi zile za kina Isaac Gamba, Kitenge, Kibonde, Michuzi, Abou Liongo wanajitafuta utacheka