Haji Manara: Ahmed Ally ni shabiki kindakindaki wa Yanga

Haji Manara: Ahmed Ally ni shabiki kindakindaki wa Yanga

Naona watu wanasahau kuwa Ahmed ni mwandishi. Na hii picha kwa haraka ni kipindi anajitafuta miaka hiyo. Hata hilo kombe ni la muda mrefu. Ukiwa mwandishi either unatumwa kuleta habari au unaenda kutafuta habari si jambo geni kupiga picha kama hizo.
Ukiona picha enzi zile za kina Isaac Gamba, Kitenge, Kibonde, Michuzi, Abou Liongo wanajitafuta utacheka
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ukishabikia sana Simba na Yanga kichwani zinapungua Lazima.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Mtu na akili timamu unaleta habari ya manara.

UNAMUAMINI KABISA MANARA.

MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KABISA KABISA KUMUAMINI HAJI MANARA.

OTHERWISE KAMA KUNA MTINDIO
 
Ila hii picha inamuonesha kabisa huyu dogo ni Mwananchi eti!! Sema tu ndiyo hivyo! Ameamua kujitafutia mkate wake wa kila siku mahali pengine.

Yaani ni sawa na kusema eti Ali Kiba ni Simba!! Aisee nitakataa milele. Huko yuko kwa ajili ya pesa tu. Ila mapenzi yake yote yatabakia kuwa Yanga.
Manara anawachora tu mumpe pesa za kuolea ila mkifungwa anachekea chooni.
 
Hao ni wasanii si wa muziki tuu hata maisha, harmonize uhasama wake na diamond sawa na alikiba Ila moyoni Kila mtu ana mapenzi ya asili ya timu yake
Kwahiyo point yako ni nini hasa? Maslahi ndiyo yanawafanya watu wakaziacha asili zao
 
images (1)-1.jpeg
 
Manara yupo sahihi sana, Ahmed Ally ni Mshabiki wa Young Africans kitambo tu

Na ukimwita NDUNDUKA au KOLO mtagombana

Muda utasema
 
Kwahiyo point yako ni nini hasa? Maslahi ndiyo yanawafanya watu wakaziacha asili zao
Ushabiki wa Simba na yanga kwa Tanzania ni zaidi ya dini,

Unaweza kubadili dini lakini sio kushambulia timu nyingine, Mara nyingi Kama mapenzi wa Simba nimekuwa sipendezwi na baadhi ya Mambo au natumia pale tunapopoteza lakini sijawahi kuwaza nihame timu, angalia hili jukwaa wale unaowaona mashabiki kindakikindaki umewahi kusikia wanasema wamehama timu, ni wasanii Kama Manara ndio wanaweza kusema wanahama timu.
Ndio maana ugomvi wa jemedari na Manara ulianza pale jemedari alipokuja anacheza clip za nyuma za Manara kukumbusha kauli zake kuwa hata Kama atakabidhiwa pesa zote BOT hawezi kuhama Simba .
Labda umeanza kumsikia Manara baada ya kuwa msemaji wa Simba Ila story ya maisha yake imejaa utapeli ndio maana alifunguliea kesi na ikabidi ajiuzulu ukaribu mwenyezi wa ccm kwa sababu ya utapeli wa magari.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom