Haji Manara aitaka Clouds FM kuthibitisha au kuomba radhi juu ya habari yao kwamba Simba SC kapigwa 6-0 nchini Uturuki

Haji Manara aitaka Clouds FM kuthibitisha au kuomba radhi juu ya habari yao kwamba Simba SC kapigwa 6-0 nchini Uturuki

Unajua Clouds ni kikundi fulani ambacho Kazi yao ni uchonganishi
Alikuwa ni Paul James aliyesoma habari hizi za uzushi.

Sasa sijui chanzo chake cha habari alikipata wapi..?

Alafu PJ alisukumwa na mahaba ya Jangwani ,tunamfahamu kuwa ni shabiki wa kandambili.
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa ni Paul James aliyesoma habari hizi za uzushi.

Sasa sijui chanzo chake cha habari alikipata wapi..?

Alafu PJ alisukumwa na mahaba ya Jangwani ,tunamfahamu kuwa ni shabiki wa kandambili.
Halafu alitimuliwa radio one kwa ulevi, baadaye akaenda kwa wadaku wenzake clouds, akajaribu efm nako akaona maji ya shingo..ni mpuuzi fulani hivi
 
Yanga hatujasahau 4G yenu, afu msitake kupotezea machungu kwa taarifa za uongo.
Cha kuwambusha tu ni kwamba Jumapili kuna Match yenu
 
dah watu wanapovu... nilisikiaga kuwa mwaka jana Simba ilipigwa sita SAUZI, ikarudi ikawa bingwa wa ligi, bas ninavyoona bora waendelee kufungwa sita katika mechi za kirafiki ili wakija wawe tena mabingwa, tena ikibid wafungwe 12 ili wakija wauchukue ubingwa wa Afrika...🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂

nahis wazee wa jangwani wanatafuta mambo ya kubalance sheet.. maana walikuwa nne kwenye CAF... na hawana uhakika mech ya dar watakula ngapi so wanaamua kuanza kubalance mambo kabisa kuwa na simba walifungwa sita kwenye kirafiki.

😉😉😉😉😉
 
Back
Top Bottom