mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ukipitia comments za mashabiki wa yanga aka utopolo baada ya Simba kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania huko Botswana, utafikia hitimisho kuwa Haji Manara alikuwa sahihi kwenye kauli yake kuwa mtu akiwa yanga hata kama ni profesa bado kichwani atakuwa na walakini!
Mtu anakuambia eti timu zote mbovu ila moja ni mbovu zaidi!! Kwa kusema hivyo anamaanisha kuwa yanga ni bora ila imetolewa na timu bora zaidi!! Ukimwuliza hiyo
Rivers united iliyo bora zaidi ni ya ngapi katika mkeka wa CAF wa ubora wa klabu za Afrika? Na hiyo yanga ni ya ngapi? Ukimwuliza hivyo anarusha matusi!! Msikilize Manara hapa!
Mtu anakuambia eti timu zote mbovu ila moja ni mbovu zaidi!! Kwa kusema hivyo anamaanisha kuwa yanga ni bora ila imetolewa na timu bora zaidi!! Ukimwuliza hiyo
Rivers united iliyo bora zaidi ni ya ngapi katika mkeka wa CAF wa ubora wa klabu za Afrika? Na hiyo yanga ni ya ngapi? Ukimwuliza hivyo anarusha matusi!! Msikilize Manara hapa!