Haji Manara ameshatoa mahari kumuoa Zaiylissa

Haji Manara ameshatoa mahari kumuoa Zaiylissa

Unajua huyu jamaa nilidhani anaakili but he is dumber than I thought.Manzi kaolewa zaidi ya Mara mbili kaachika,kazaa watoto kibao ni danga pro(tetesi)na tunavyojua manara anawivu wa kipuuzi na pia ni control freak unapiga Hesabu TU ya kutoa hakuna kitu hapo.
Huoni kwamba wamekutana ''machakubanga'' wote? Hivi huyo Haji Manara si Tanzania pekee mtu wa hovyo kama huyo anaweza kusikilizwa na watu, nchi nyingine huyu si ni looser tu?
 
Huyo Dotto Magari inaonekana kazi ya Uchawa anaiweza, angalia anavyomfanyia Uchawa Bugati 😅

Ila kwa style ya kuoa na kuacha ya Haji Manara, si atakuja kuwa na watoto 20 akifika Uzee 😜

Tuwaombee heri kwenye maisha yao ya Uchumba na ndoa
Azeeke mara ngapi mbona hapo tayari babu
 
Back
Top Bottom