Basi hataki kukua kiakili pamoja na kuwa na umri huo...so sad kwa mtu mzima kuwa hivyoUzee upi zaidi ukiwa na miaka +45 uzee upi unangoja?Ni kutokukuwa kiakili tu na kiki za kijinga kwa upande wake.
Hii risiti ya uhakika hata Mimi naisapoti..Maoni yangu bado ni yale yaleView attachment 2869541
Huoni kwamba wamekutana ''machakubanga'' wote? Hivi huyo Haji Manara si Tanzania pekee mtu wa hovyo kama huyo anaweza kusikilizwa na watu, nchi nyingine huyu si ni looser tu?Unajua huyu jamaa nilidhani anaakili but he is dumber than I thought.Manzi kaolewa zaidi ya Mara mbili kaachika,kazaa watoto kibao ni danga pro(tetesi)na tunavyojua manara anawivu wa kipuuzi na pia ni control freak unapiga Hesabu TU ya kutoa hakuna kitu hapo.
Kama touches za Yanga au ile Barcelona ya akina IniestaNdoa za kiislamu raha sana...unaoa unaacha unaoa tena...unaolewa unachwa unaolewa tena
Wataachana Tu.
Azeeke mara ngapi mbona hapo tayari babuHuyo Dotto Magari inaonekana kazi ya Uchawa anaiweza, angalia anavyomfanyia Uchawa Bugati π
Ila kwa style ya kuoa na kuacha ya Haji Manara, si atakuja kuwa na watoto 20 akifika Uzee π
Tuwaombee heri kwenye maisha yao ya Uchumba na ndoa
[emoji28][emoji28]Ndoa za kiislamu raha sana...unaoa unaacha unaoa tena...unaolewa unachwa unaolewa tena
Kumbe umri umeanza kuchangamka, nimesoma mahali mwezi huu Januari 18 atatimiza miaka 48 πAzeeke mara ngapi mbona hapo tayari babu