Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mkuu Kila kitu umekiweka wazi basi Uzi ufungwe.Ifahamu historia ya Haji Manara - clickHabari
Miaka ya 1970, Tanzania ilimshuhudia Sunday Manara, mzaliwa wa Kigoma aliyejaaliwa ufundi wa kusakata kabumbu. Sunday alifahamika kama βcomputerβ kutokana na ufundi wake wa kipekee uwanjani. Januari 18, 1976, Sunday Manara alijaaliwa mtoto wa kiume, akamuita Haji, ndiye huyu ambaye leo jina lake...clickhabari.com
Hii vipi nayo?
Mara kasoma IST, mara mzumbe , mara ilboru mara kasoma chuo South Africa , mara kawa mwalimu wa madrasa ....Haji manara kazaliwa Amsterdam Uholanzi, usimchukulie poa alipiga Moja ya point Saba o .level. Huyu jamaa kakipiga Nzumbe special school Advanced level. Pia Mwamba ni kichwa sana watu hawaelewi tu. Kuhusu mpira jamaa hajawahi kucheza popote professional football labda Amateur
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mkuu labda umesahau alipotoka mzumbe alienda Ilboru Arusha na Pale ndo alipoanza kujihusisha na soka.
Kama unaikumbuka kuna mechi moja alichezea AFC ya Arusha alipiga Kross alafu akaiwahi mwenyewe akaenda piga kichwa akaweka kambani.
Wewe huna Akili Kwa hiyo huruhusiwi kusoma shule zaidi ya Moja? acha upumbavuMara kasoma IST, mara mzumbe , mara ilboru mara kasoma chuo South Africa , mara kawa mwalimu wa madrasa ....
Tunachojua kuwa yeye ni chawa na
Inaskitisha kwa taarifa zilizopo kuwa pia yeye sio ridhiki ... Haya ndo yanafanya watu wamchukulie poa na sio huo umwamba unaousemea
Manara kasoma shule ya awali IST Kama hutaki kuelewa endelea na ujuavyo weweMara kasoma IST, mara mzumbe , mara ilboru mara kasoma chuo South Africa , mara kawa mwalimu wa madrasa ....
Tunachojua kuwa yeye ni chawa na
Inaskitisha kwa taarifa zilizopo kuwa pia yeye sio ridhiki ... Haya ndo yanafanya watu wamchukulie poa na sio huo umwamba unaousemea
Alikipigia sana Yanga Kids pale Jangwani.miaka 90 mwanzoni niliwahi pambana and kupata number Yanga Kids......shida yake ilikuwa macho ....Huyu Mwamba amewahi kucheza Soka enzi zake?
Aliwahi kuchezea Yanga B, na kufanya majaribio Yanga AHuyu Mwamba amewahi kucheza Soka enzi zake?
UmeurudiaHuyu Mwamba amewahi kucheza Soka enzi zake?
Haaaaa πππNgoja kuna mzee anaitwa mzee Tozi yeye anajua yote kuhusu yule ndugu yetu aliyezimia dubei ,cha kujiuliza hapa alizimia kweliii au aliwatega waarabu
umewaza ulichoandika lakini?au ni chuki binafsi zinakusumbua?Kwa ulemavu wake ule hawezi kucheza hata netball
Maswali mengine sio ya kuuliza great thinkers.
Basi haina shaka nikosoe basi nilipokoseaumewaza ulichoandika lakini?au ni chuki binafsi zinakusumbua?
Asante Mkuu kutujuza,hebu tusaidie pia ni Chuo kipi huko Africa Kusini alichosomea? Na alisoma kwa level ipi? Ceritificate,Diploma or Bachelor degree?Alienda Afrika ya Kusini kusomea mass communication
Mbona sasa ile lugha inayotumika kufundishia pale IST ni mtihani kwakwe kama alisoma pale?Iko hivi Haji Manara Alizaliwa Amsterdam na baada ya hapo alisoma IST elimu yake ya chini kabisa Sasa wewe endelea kupinga.
Mkuu endelea kutujuza,usigadhibike na comments za wadau,kupitia wewe unatusaidia kumfahamu vizuri Haji hasa upande wa elimu yake.Manara kasoma shule ya awali IST Kama hutaki kuelewa endelea na ujuavyo wewe
Alisoma elimu ya awali pekeeMbona sasa ile lugha inayotumika kufundishia pale IST ni mtihani kwakwe kama alisoma pale?