Haji Manara amjibu Eddo Kumwembe

Edo ni Yanga na Arsenal, I know him, nimekua nae kabla hajaanza kuwa mchambuzi kwenye magazeti na TV
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona leo umechefukwa umeamua kumpa Manara haki yake, ila kweli na yeye asipende kupanic bila sababu hata anapoambiwa ukweli ye ni povu tuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona leo umechefukwa umeamua kumpa Manara haki yake, ila kweli na yeye asipende kupanic bila sababu hata anapoambiwa ukweli ye ni povu tuu

Wadau wa Soka wa Tanzania wanawahitaji akina Edo Kumwembe 100 tu kuliko kubaki na akina Haji Manara 5,000,000.
 
Hata ww heshimu mawazo ya Haji Manara
 
AAA wakati mwingine wachambuzi wanaudhi
 
Kuna baadhi wa wachezaj hawana quality ya kucheza simba manala una vivulana vingi tatzo
 
Ulemavu wowote unavumiliwa lakini huu wa akili ni hatari zaidi
 
Na kuita wavulana na wanaume kumbe hamna tatizo?
 
Wao wanamuona jembe, ila ni kioja aisee........
 
Nimerudia tena na tena kusoma article ya Eddo Kumwembe. Lakini kama niliandika mahali pengine sijaona tatizo la msingi la Wanasimba wa kweli kumchukia na kumpa majina mabaya ya kiwango hicho. Alichoandika Eddo ni hakika na kweli kwa kiwango cha zaidi ya 95%, ila hakueleweka vizuri.

Ni kweli kwamba kwa takwimu na mwendelezo wa performance ya timu, Simba ni timu bora ktk ardhi ya Tanzania kwa msimu huu lakini it is not good enough!! Huu ni ukweli mchungu, lakini ni tiba sahihi. Simba iliongezeka ubora uwanjani tofuati na misimu 2 au 3 hivi, lakini pia ubora wa Yanga na Azam ulitetereka! Eneo ambalo Simba haikuwa vizuri kwa kiwango cha kimataifa ni eneo la ushambuliaji.

Sasa inapokwenda kimataifa, Simba ndio inashauriwa kutafuta wachezaji watatu (3) waliotayari kwa matumizi. Anatafutwa defender wa kiwango cha Africa wa kucheza na Mwanjale, au kuchukua namba yake kabisa. Anatafutwa kiungo mwenye mamlaka kama Patrick Mafisango. Mamlaka ya kuuendesha mchezo, na kuongoza wenzake, kupiga pasi hasa ndefu. Ni kweli kwamba Simba ndio timu yenye kiungo kizuri lakini mkude pamoja na uzuri wake wote hajashawishi kwa kuwa na mamlaka ya kimchezo, na hata upigaji wa pasi rula za kuifungua defence ya timu pinzani bado sio wa kiwango cha kugombania taji la Afrika. Aidha Simba haina mchambuliaji anayeweza kuvuta attention ya walinzi wa timu pinzani kama alivyokuwa Ngoma katika ubora wake. Huu ni ukweli mchungu!!!!

Mavugo, anaonekana ana kitu mguuni, lakini anapenda kuwa na mpira muda mwingi na hakuwa kiongozi wa wenzake ktk ushambuliaji. Hakujiamini hadi baadae sana. Naamini anaweza kufanya vizuri msimu unaokuja lakini unahitaji mtu mmoja mwenye kiwango cha zaidi ya Kipre Tchetche na aliyejengeka kimisuli ili wengine kama akina Kichuya, Ajibu na Mavugo wawike zaidi kupitia mgongo wake. Huu ndio ukweli. Nawahakikishia Kichuya atawika sana kama Simba itampunguzia attention ya kuonekana ndio kiongozi wa mashambulizi.

Hongera sana Eddo Kumwembe, na Hajji Manara jitafakari tena, punguza munkari
 
Mimi sijaiona hiyo makala ya Edo, ameandika kwenye ukurasa wa mtandao gani niitafutee????
 
Ohoo.. nishaiona iyo post ya Eddo, jamaa kaeleweka vibaya tuu lkn hajakosea kiivyo mi namsapoti Eddo he is absolutely right
 
tushakuwa mambumbumbu tena? ok tutabishana ck nyngne ili unam bie km naww ulijua hivi ni vivulana ilkuwaj ulkuw unajdanganya vitachukua kombe? ulivipaj support asilimia mia hivi vivulana?
 
mpeleke eddo awe msemaj wa simba tuone. ultak manara ndo aikandie club yake? labda tuone kabla hajawa msemaj wa simba je alkuw hivi? tofautisha msemaj wa tim na mchambuz mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…