mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 170
Povu la Haji Manara kwa Shaffih Dauda
"Tunajua ww una ugomvi wako binafsi na baadhi ya viongozi wa Simba.lakini usitafute ugomvi na wanasimba wote,Sie kufungwa sio wa kwanza na hatutakuwa wa mwisho.unatumia muda mrefu kuittack Simba na post zako za kijinga.kumbuka ww upo kwenye chombo cha habari na klabu yetu inaiheshimu sana cloudstv na mabosi wake rugemutahaba na josephkusaga, na tunajua unajikomba kwa Yanga baada ya kutaka kukupiga kwenye issue ya Akilimali..jipime bro vnginevyo utavunja heshma yako na ya clouds media pia..ila ukiona vp endelea ila jua Simba ni klabu kubwa sana" - Haji Manara kupitia mtandao wa Instagram.
"Tunajua ww una ugomvi wako binafsi na baadhi ya viongozi wa Simba.lakini usitafute ugomvi na wanasimba wote,Sie kufungwa sio wa kwanza na hatutakuwa wa mwisho.unatumia muda mrefu kuittack Simba na post zako za kijinga.kumbuka ww upo kwenye chombo cha habari na klabu yetu inaiheshimu sana cloudstv na mabosi wake rugemutahaba na josephkusaga, na tunajua unajikomba kwa Yanga baada ya kutaka kukupiga kwenye issue ya Akilimali..jipime bro vnginevyo utavunja heshma yako na ya clouds media pia..ila ukiona vp endelea ila jua Simba ni klabu kubwa sana" - Haji Manara kupitia mtandao wa Instagram.