Haji Manara amvisha Jezi ya Simba SC Jerry Muro Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Kamchana sana,kwamba alitegemea kiatu chake kitambana,ajabu kimepwaya sana,amepoza,hatoi hamasa,hata mashabiki hawajui msemaji wao nani
Sasa alitaka awe anaropoka ropoka kama yeye? Sidhani kama shabiki wa Simba mwenye akili timamu atakuwa anafurahia uropokaji wa Haji
 
Sasa alitaka awe anaropoka ropoka kama yeye? Sidhani kama shabiki wa Simba mwenye akili timamu atakuwa anafurahia uropokaji wa Haji
Rudia kusoma kote. Wacha kutumia quote isiyoleta maana, out of context. Aliyesema maneno haya ni Jerry Muro sio Manara.
Kabla ya kukurupuka rudia kusoma.
 
Vichannel uchwara Vingi sana siku hizi mkuu na vinasaka attention vibaya mno..

Vinaweza post umekufa ingali uko nyumbani na mkeo mnapata lunch safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujalewa kitu wewe..Muro Kamchana Ten na akasema viatu vyake vinampwaya..

Kasema tena kwa kuwaponda wachezaji akina Ngassa, Boban kuwa hawakupaswa kusajiliwa Yanga

Akaongeza kuwa Zahera si kocha ni muhamasishaji..! Mbona ngumu kuelewa?
Sasa alitaka awe anaropoka ropoka kama yeye? Sidhani kama shabiki wa Simba mwenye akili timamu atakuwa anafurahia uropokaji wa Haji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasema Yanga inavyokwenda sivyo, inawaleta akina Ngasa, Boban wa nini?

Ngasa atafute kazi ya kufanya, Boban akili imechoka

Alipoambiwa kuwa Boban ni pendekezo la Kocha Zahera, ajibu kuwa Kocha hajui wachezaji yule si kocha ni muhamasishaji...hiyo ni kwa ufupi mkuu.
Tujuze Jerry kayamwaga yepi kuhusu Dismas?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YAAN HUYO FALA KAFUNGWA NA KAPEWA NA JEZI JUU?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hizo unazosema ni specifications za Ulaya, kwa Afrika(Tanzania) tunazo specs zetu tunazofuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kaongea fact,kiukweli uafisa habari kwa hizi timu kongwe unakwenda mbali zaidi mpaka kuwa mhamasishaji.
Tatizo la Dismas ni kutaka kufuata protokali kuliko uhalisia wa timu zetu.
???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…