Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc. Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
Ukifungwa utaijua hiyo tareheHivi kumbe tuna mechi na yanga?
Ni mwezi gani?
Hao unao sema ni wenzako wana makombe ya Africa wewe unalo?Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc. Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
sasa bila kuchukua ubingwa wa nyumbani, huko kwa al ahly utachezaje nae?Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc.
Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
Wewe na huyo Haji wote akili zenu zinafana.Simba na mashabiki wa Simba washatoka kwenye kupiga kelele na Yanga na Simba kuona wapinzani wao kama Al ahaly, Kaizer, pirates etc.
Haji manara analazimisha kuwachokaza simba, eti anasema morali ya simba imeshuka wanaweza kususa kuja uwanjani. Kwa kifupi hii wiki watu wanaongelea mechi ya simba na pirates
hahaha simba washatoka huku. hata mkitufunga haina shida. sisi bado tuna machungu kutolewa CAF.Unateseka na harakati za Yanga plus kufungwa na Orlando utakufa Sasa hv.
Yanga wanatafuta morali kutoka kwa Mashabiki ili wawapasue hapohapo kwenye mshono.
April 30 lazima mkalie tena.. kama unabisha Leta kolo wako hyo siku uone kazi
hawa ndio wenzetu, tupo nao kwenye 12 bora. naona hata mechi ya simba na yanga inakosa mvuto kuliko ile ya simba na piratesHao unao sema ni wenzako wana makombe ya Africa wewe unalo?
yanga kabaki mtani tu. wapinzani wasimba wapo misri, SA, Ivory coast.Wapinzani wenu wakati mmefurumushwa?
Yanga ana mechi kama mechi zingine tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Ipi kwenu yenye mvutoMechi ya Simba na yanga Aina mvuto
ndio ishaanza kuwa ndogoNdio kazi yake shida nini? Halafu ni lini mechi ya Yanga na Simba ikawa ndogo!?
Sisi na 20 Bora ya Afrika.kama aupo 20 Bora huwezi kuwa mshindani wetu😜😅[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Ipi kwenu yenye mvuto
Piga kelele ukimaliza ukacheze na Pambahawa ndio wenzetu, tupo nao kwenye 12 bora. naona hata mechi ya simba na yanga inakosa mvuto kuliko ile ya simba na pirates