Haji Manara Analazimisha Simba vs Yanga iwe mechi kubwa

Haji Manara Analazimisha Simba vs Yanga iwe mechi kubwa

Unateseka na harakati za Yanga plus kufungwa na Orlando utakufa Sasa hv.

Yanga wanatafuta morali kutoka kwa Mashabiki ili wawapasue hapohapo kwenye mshono.

April 30 lazima mkalie tena.. kama unabisha Leta kolo wako hyo siku uone kazi
umepovukwa kweli
mkauze jezi zenu za msimu uliopita kwa mafungu sasa

52C68391-A339-4CD4-8647-D153A87927AC.jpeg
 
Mie huwa nachukia sana mnapohangaika na ule msukule
Tena msukuke zeluzelu. Yani wenyewe ni simba tuuuu,badala ajikite kwenye timu yake na timu zingine yeye ni kuiwaza simba.Anatafuta kuendelea kuwa maarufu kwa mgongo wa simba
 
hata ukilima bamia unapata pesa....Sisi tunataka ubingwa😀😀
sawa sisi ubingwa tumeuchoka kwa miaka 4 mfululizo tumechukua sisi
hatutaki ligi yetu iwe farmers league tunataka ushindani wa kupokezana kijiti kama epl
 
Huwa sipendi kuamini maneno kwamba kuna mashabiki Wana ufinyu wa mawazo. Lakini Leo nimeamini si tu ufinyu wa mawazo Bali hata mawazo yenyewe hawana. REAL MADRRID amechukua ubingwa wa UEFA mara nyingi kuliko timu yoyote Ulaya, ni lini umemsikia shabiki wa Real akidharau El Clasico? Utakuwa ni shabiki mpuuzi kusema Mechi ya Derby ya nchi yoyote ni Mechi ndogo.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
umebakia utani tu si upinzani
 
Kwani ndo mara ya kwanza, utatolewa kila ukishiriki maana huna uwezo
sisi tunashindana ba wakubwa wenzetu. nenda page ya twitter ya simba. watu kutoka nchi mbali mbali wameifollow, uto page yao ni watz tu
 
Naniiiii achana kabisa na Dabi yaani Simba na Yanga hata kama siku wa kigombania kuku jua kabisa hiyo mechi kubwa, hivi ushajiuliza kipindi kile Dalali na Kaduguda kitu kilicho kuwa kinawafanya wabaki madarakani ni kuifunga Yanga pamoja na Yanga kuchukua ubingwa mara 3 mfululizo.

Simba na Yanga inaweza kuamua hatma ya mkataba mpya kwa mchezaji na hatima ya kiongozi.
zamani hiyo si sasa
 
Back
Top Bottom