Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Manara Kawachana Ukweli Wachawi Wakubwa Nyie [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makirikiri Jwaneng Galaxy tu wamewatoa.....Simba imeshajulikana mbinu zake nje ya uwanja, ....hamfiki popote.Msimu ujao Simba lazima icheze champions league africa na hao hao wakina ahly ndo utajua hujui
Chezeni nao msimu huu, maana championi league bado inaendelea😀😀😀Msimu ujao Simba lazima icheze champions league africa na hao hao wakina ahly ndo utajua hujui
umepovukwa kweliUnateseka na harakati za Yanga plus kufungwa na Orlando utakufa Sasa hv.
Yanga wanatafuta morali kutoka kwa Mashabiki ili wawapasue hapohapo kwenye mshono.
April 30 lazima mkalie tena.. kama unabisha Leta kolo wako hyo siku uone kazi
kwani nyie baada ya hapa mlifika wapi we utoChezeni nao msimu huu, maana championi league bado inaendelea😀😀😀
na rivers pia tutawaweka kama ukitakaHa ha ha safari hii umewaweka na Pirates!?
Yanga tunataka ubingwa wa NBC kwanza ....Simba mmekuja na ubingwa gani huko kimataifa😀😀😀
dolari 35000Yanga tunataka ubingwa wa NBC kwanza ....Simba mmekuja na ubingwa gani huko kimataifa😀😀😀
hata ukilima bamia unapata pesa....Sisi tunataka ubingwa😀😀dolari 35000
Tena msukuke zeluzelu. Yani wenyewe ni simba tuuuu,badala ajikite kwenye timu yake na timu zingine yeye ni kuiwaza simba.Anatafuta kuendelea kuwa maarufu kwa mgongo wa simbaMie huwa nachukia sana mnapohangaika na ule msukule
Na hili lipo wazi, na linawauma sn Yangayanga kabaki mtani tu. wapinzani wasimba wapo misri, SA, Ivory coast.
sawa sisi ubingwa tumeuchoka kwa miaka 4 mfululizo tumechukua sisihata ukilima bamia unapata pesa....Sisi tunataka ubingwa😀😀
Mmechoka Au Uwezo Mdogo? [emoji1787]sawa sisi ubingwa tumeuchoka kwa miaka 4 mfululizo tumechukua sisi
hatutaki ligi yetu iwe farmers league tunataka ushindani wa kupokezana kijiti kama epl
Ivi hujui kua TZ inaingiza timu 4 kimataifa?!sasa bila kuchukua ubingwa wa nyumbani, huko kwa al ahly utachezaje nae?
Yanga wakati anapigwa nje ndani na wale wa mtoni Rivers walikuwa wamechukua kombe gani?sasa bila kuchukua ubingwa wa nyumbani, huko kwa al ahly utachezaje nae?
ilikuwa mkuu, ila kwa sasa silioni hiloSimba na Yanga
Yanga na Simba
Daima huwa ni mechi kubwa kabla hata manara hajajulikana ulimwengu wa soka
umebakia utani tu si upinzaniHuwa sipendi kuamini maneno kwamba kuna mashabiki Wana ufinyu wa mawazo. Lakini Leo nimeamini si tu ufinyu wa mawazo Bali hata mawazo yenyewe hawana. REAL MADRRID amechukua ubingwa wa UEFA mara nyingi kuliko timu yoyote Ulaya, ni lini umemsikia shabiki wa Real akidharau El Clasico? Utakuwa ni shabiki mpuuzi kusema Mechi ya Derby ya nchi yoyote ni Mechi ndogo.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
sisi tunashindana ba wakubwa wenzetu. nenda page ya twitter ya simba. watu kutoka nchi mbali mbali wameifollow, uto page yao ni watz tuKwani ndo mara ya kwanza, utatolewa kila ukishiriki maana huna uwezo
zamani hiyo si sasaNaniiiii achana kabisa na Dabi yaani Simba na Yanga hata kama siku wa kigombania kuku jua kabisa hiyo mechi kubwa, hivi ushajiuliza kipindi kile Dalali na Kaduguda kitu kilicho kuwa kinawafanya wabaki madarakani ni kuifunga Yanga pamoja na Yanga kuchukua ubingwa mara 3 mfululizo.
Simba na Yanga inaweza kuamua hatma ya mkataba mpya kwa mchezaji na hatima ya kiongozi.